Habari! Mimi nina ng'ombe wawili wa maziwa( freshian) niliwanunua pale ubungo dar , chakushangaza hawa ng'ombe wanatoa maziwa kidogo kiasi 3 litres per day each lakini wanapata malisho bora kabisa.Msaada toka kwenu wakubwa!!!!
Pole ila hao ng'ombe ni aina gani? Watu wangekushauri kiasi cha maziwa unayopata kutokana na aina ya ng'ombe. Hiyo ya kuzaa madume tena mmm ngoja wajuzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.