Nisaidieni jamani!!!!!!!!

HONGORI

Member
Dec 16, 2013
8
1
Habari! Mimi nina ng'ombe wawili wa maziwa( freshian) niliwanunua pale ubungo dar , chakushangaza hawa ng'ombe wanatoa maziwa kidogo kiasi 3 litres per day each lakini wanapata malisho bora kabisa.Msaada toka kwenu wakubwa!!!!
 
Pole ila hao ng'ombe ni aina gani? Watu wangekushauri kiasi cha maziwa unayopata kutokana na aina ya ng'ombe. Hiyo ya kuzaa madume tena mmm ngoja wajuzi
 
Back
Top Bottom