Nisaidieni jamani

Nisaidieni jamani

He he nimegundua JF kuna watoto wengi sana siku hizi lol yaani nimecheka sana.
 
Wewe ni wale wakimsalimia mwanamke akitabasamu wanakimbilia nyumba za wageni kuchukua chumba.unatia huruma kweli.unaonyesha unapenda mteremko sana.:target:Umepewa kitofa tuuuuuu
 
Wewe ni wale wakimsalimia mwanamke akitabasamu wanakimbilia nyumba za wageni kuchukua chumba.unatia huruma kweli.unaonyesha unapenda mteremko sana.:target:Umepewa kitofa tuuuuuu

Mbona hajanipa ushauri unanilaumu
 
Baraka tatizo Lako hauna subira ktk Hilo.kukataliwa mara moja si sababu ya kukimbilia huku na kulialia.mtoto wa kiume wewe kuwa mvumilivu msome anataka ni ni then peleka mashambulizi tena.au ukishindwa tafuta kuwadi akusaidie
 
Baraka tatizo Lako hauna subira ktk Hilo.kukataliwa mara moja si sababu ya kukimbilia huku na kulialia.mtoto wa kiume wewe kuwa mvumilivu msome anataka ni ni then peleka mashambulizi tena.au ukishindwa tafuta kuwadi akusaidie

asante kwa ushauri
 
KWanza, umeniudhi sana umenitoa kwenye thread ya mdada wa watu mumewe kajigeuza mashine ya kutotoa watoto kuja huku kusoma utoto wako..

PIli, kuna demu gani Dar hii yuko single? huyu wako ni special na umenifanya niwaze mengi sana..alidhani atakuchuna kirahisi asepe akikuambia yupo single wewe ulivo mzabzab ukaingia na gia ya kike eti nakupenda! shabash...hayo maneno hayasemwagisemwagi tu hovyo dogo...unadhani unaact movie hapa unamuona leo kesho unatangaza ndoa!??

Alafu ukishampenda unataka kumfanya nini? Upo Mwanza yupo Dar...!!!!!!

And then, umesema umelia!!! REALLY mwanaume!???????

Msaada wangu ni ungoje ukue aisee...you wil understand things better!!! wat a kid....:A S angry:
 
Last edited by a moderator:
KWanza, umeniudhi sana umenitoa kwenye thread ya mdada wa watu mumewe kajigeuza mashine ya kutotoa watoto kuja huku kusoma utoto wako..

PIli, kuna demu gani Dar hii yuko single? huyu wako ni special na umenifanya niwaze mengi sana..alidhani atakuchuna kirahisi asepe akikuambia yupo single wewe ulivo mzabzab ukaingia na gia ya kike eti nakupenda! shabash...hayo maneno hayasemwagisemwagi tu hovyo dogo...unadhani unaact movie hapa unamuona leo kesho unatangaza ndoa!??

Alafu ukishampenda unataka kumfanya nini? Upo Mwanza yupo Dar...!!!!!!

And then, umesema umelia!!! REALLY mwanaume!???????

Msaada wangu ni ungoje ukue aisee...you wil understand things better!!! wat a kid....:A S angry:

Nimelia kwa kuwa nampenda kweli huyo mrembo
 
Last edited by a moderator:
Watu wengine sijui mtajua lini kutongoza...hicho ulichofanya ni kama umetoa tamko tu.
Itabidi nianzishe column ya steps za kufanya kumleta mwanamke himayani.

Naunga mkono hoja
 
umelia sana ahahahaaa nimecheka sana,yani kukataliwa ndio unalia sana,sikiliza mashairi ya fid q usinikubari haraka
 
Back
Top Bottom