baraka boki
Senior Member
- Sep 20, 2010
- 181
- 80
- Thread starter
- #81
well u went about it the wrong way
Hapo nimekubali
well u went about it the wrong way
Mbuzi hapigiwi gitaa. Wakati wewe unampigia mbuzi gitaa na dereva wa taxi anamuonyeshea huyo mbuzi majani, unadhani mbuzi ataenda kwa nani? kwako au kwa dereva taxi?
Bado ni mapema sana kuamini
huyo kakushinda dad yangu ndo utamuweza labda ufanye majaribio ya kurubuni vitoto vya mtaani kwenu kwanza ndo uanze kwa wengine hata maneno matam 2 hunaumejuaje kama sijui kutongoza nipe dada yako uone usiongee vitu usivyovijua kama hutaki kutoa ushauri kaa kimya ,kwani kuna shule ya kutongoza
huyo kakushinda dad yangu ndo utamuweza labda ufanye majaribio ya kurubuni vitoto vya mtaani kwenu kwanza ndo uanze kwa wengine hata maneno matam 2 huna