Nisaidieni jamani

Nisaidieni jamani

mmmmmmmhhhhhhhh! yan wiiik tu wa unazani atakuamini vp???????? was sooo fast aseeee. duh! kiukwel unachekeshaaa ni haki yake huyo dada akutoseee mzeeee. it was lyk kutamani na si kupendaaaaaa. wiiiik? humjui hakujui et kupendaaaaa? wat if ni mzukaaaa??? be careful
 
Wiki iliyopita nilikuwa nasafiri kutoka Mwanza kuja Dar na basi bahati mzuri katika kiti nilikaa na mrembo mmoja tukawa tunapiga stori mpaka Dar bahati nzuri yule mrembo alinipa namba zake za simu basi tukawa tunachat vizuri naongea naye vizuri katika maongezi yetu nikatokea kumpenda huyo mrembo basi juzi nilipomwambia nampenda kanijibu hivi .Kwamba yuko single na hataki kuwa na mtu kwa sasa basi nimelia mpaka basi Kweli inauma kukataliwa hivi jamani .Hata nikimpigia simu hapokei na meseji hajibu na mimi nimerudi mwanza .

Naomba ushauri please

Wewe ulitamani na wala hukupenda. dah na speed zako.. na wasiwasi hata kwenye 6*6 huwa unapalamia tu hufuati steps...Jifunze upya kaka.
 
mmmmmmmhhhhhhhh! yan wiiik tu wa unazani atakuamini vp???????? was sooo fast aseeee. duh! kiukwel unachekeshaaa ni haki yake huyo dada akutoseee mzeeee. it was lyk kutamani na si kupendaaaaaa. wiiiik? humjui hakujui et kupendaaaaa? wat if ni mzukaaaa??? be careful

sasa nifanyaje ndiyo ishatokea hivyo
 
mmmmmmmhhhhhhhh! yan wiiik tu wa unazani atakuamini vp???????? was sooo fast aseeee. duh! kiukwel unachekeshaaa ni haki yake huyo dada akutoseee mzeeee. it was lyk kutamani na si kupendaaaaaa. wiiiik? humjui hakujui et kupendaaaaa? wat if ni mzukaaaa??? be careful

wewe ulitaka ningoje mwaka mzima alafu nikitongoza niambiwe umechelewa kuna mwenzako Tayari
 
Wewe ulitamani na wala hukupenda. dah na speed zako.. na wasiwasi hata kwenye 6*6 huwa unapalamia tu hufuati steps...Jifunze upya kaka.

dogo anausongooo. m mpe maujafanjaaaaaa coz yaelekaaa anataman aswaaaaaa
 
wewe ulitaka ningoje mwaka mzima alafu nikitongoza niambiwe umechelewa kuna mwenzako Tayari

dogooooo umewahi sanaaaa. gals r nt lyk dat aseeee. m mchek mfikiri akupe maujafanjaaaaaa. vitu ngaz kwa ngaz sa we umechana msamba unazani utapata kwelllllllll????
 
kwa nini unasema hivyo

huyu kabugi kwa sababu approach yake haina ile wooing a woman, its not romantic, it doesnt titilate the woman simply put it doesnt instill curiosity in the woman. na hiyo ndio important element katika kumteka demu
 
KWanza, umeniudhi sana umenitoa kwenye thread ya mdada wa watu mumewe kajigeuza mashine ya kutotoa watoto kuja huku kusoma utoto wako..

PIli, kuna demu gani Dar hii yuko single? huyu wako ni special na umenifanya niwaze mengi sana..alidhani atakuchuna kirahisi asepe akikuambia yupo single wewe ulivo mzabzab ukaingia na gia ya kike eti nakupenda! shabash...hayo maneno hayasemwagisemwagi tu hovyo dogo...unadhani unaact movie hapa unamuona leo kesho unatangaza ndoa!??

Alafu ukishampenda unataka kumfanya nini? Upo Mwanza yupo Dar...!!!!!!

And then, umesema umelia!!! REALLY mwanaume!???????

Msaada wangu ni ungoje ukue aisee...you wil understand things better!!! wat a kid....:A S angry:

Mkuu kweli umenena jana niliongea naye huyo mrembo wa Dar eti sasa ndiyo ananiambia nina mtu wangu wakati mwanzo alisema yuko single .
 
Last edited by a moderator:
huyu kabugi kwa sababu approach yake haina ile wooing a woman, its not romantic, it doesnt titilate the woman simply put it doesnt instill curiosity in the woman. na hiyo ndio important element katika kumteka demu

Ndo maana nkasema huyu dogo ana mapenzi ya movie (ushawahi ona ile movie ya, 'When in Rome'?)...

Mkuu kweli umenena jana niliongea naye huyo mrembo wa Dar eti sasa ndiyo ananiambia nina mtu wangu wakati mwanzo alisema yuko single .

Ameona we bado mshamba, take it as a lesson and move on!
 
Ktk maongezi yake alikuambia anajiuza? Maana stail uloingia nayo kwake ni kama unamwendea kahaba. Next tym acha papara, jifunze kusubiri
 
Ktk maongezi yake alikuambia anajiuza? Maana stail uloingia nayo kwake ni kama unamwendea kahaba. Next tym acha papara, jifunze kusubiri

Ngoja niendelee zangu kunywa Viroba mademu wapo wengi tu
 
maneno cyazimii ,vitendo hunitega mimi

hapa kwenye kuonesha vitendo ndo huwa napataga tabu,maana kuna mabinti wengine hawataki hata ivo vitendo vyako,kwa mfano utakuta mwengine ukimpelekea zawadi anakataa,ukitaka kumtoa out anajifanya yuko bize na wakati mwengine hata simu hapokei wala meseji hajibu na unafanya haya yote kuonesha ni kiasi gani unamjali na kumkumbuka kila siku but yeye hata habari nayo hana kabisaaaaa!au wakuu nyie mnakusudia vitendo gani?
 
Back
Top Bottom