Nisaidieni jamani

Nisaidieni jamani

hapa kwenye kuonesha vitendo ndo huwa napataga tabu,maana kuna mabinti wengine hawataki hata ivo vitendo vyako,kwa mfano utakuta mwengine ukimpelekea zawadi anakataa,ukitaka kumtoa out anajifanya yuko bize na wakati mwengine hata simu hapokei wala meseji hajibu na unafanya haya yote kuonesha ni kiasi gani unamjali na kumkumbuka kila siku but yeye hata habari nayo hana kabisaaaaa!au wakuu nyie mnakusudia vitendo gani?

Mkuu bora uongee wewe maana demu Hata ukimuonyesha unampenda vipi yeye haonyeshi action yoyote .Tatizo watanzania wanapenda kuiga mapenzi ya kizungu wakati hawawezi mi nikimpenda demu namtongoza hivyo hivyo hivyo kwa wiki moja akikataa basi najaribu mwingine kwa sababu the higher the risk the higher the return.
 
Ndo maana nkasema huyu dogo ana mapenzi ya movie (ushawahi ona ile movie ya, 'When in Rome'?)...



Ameona we bado mshamba, take it as a lesson and move on!

Mkuu tatizo hawa mademu hawaeleweki you can wait for golden opportunity to arise and it will never come alafu ukimtongoza anakwambia umechelewa nina mtu.Unasemaje mkuu kuhusu hili suala
 
kwakwel ushangaeeee. na huyoo manzi yupo sawaaaa kabisaaaa. 1 wk???? humjui hakujui t unampendaaaaa????? mhhhhhh!!! i doubt wat if ni mzukaaaa??? angalia ucjepoteaaaaa jombaaaa

mademu wanatofautiana mimi kama demu wa kawaida siku mbili mwisho akiwa mkali wiki moja inatosha miezi sita ya nn kuingia hasara ya kuchat alafu uambulie kibuti
 
Wewe ulitamani na wala hukupenda. dah na speed zako.. na wasiwasi hata kwenye 6*6 huwa unapalamia tu hufuati steps...Jifunze upya kaka.

mkuu love is about feelings kwa hiyo unamaanisha mtu Hawezi kumpenda demu katikawiki moja
 
Watu wengine sijui mtajua lini kutongoza...hicho ulichofanya ni kama umetoa tamko tu.
Itabidi nianzishe column ya steps za kufanya kumleta mwanamke himayani.

we learn through mistakes we made ,so mkuu toa ushauri basi
 
utakua hujui kutongoza kama ungekua unjua angkua katika imaya yako wanawake wanaitaji maneno laini

umejuaje kama sijui kutongoza nipe dada yako uone usiongee vitu usivyovijua kama hutaki kutoa ushauri kaa kimya ,kwani kuna shule ya kutongoza
 
jiamini kijana mwenzangu! wanawake ni pangu pakavu tia mkono upapase utampata tu,komaa kama M4C!
 
Mkuu bora uongee wewe maana demu Hata ukimuonyesha unampenda vipi yeye haonyeshi action yoyote .Tatizo watanzania wanapenda kuiga mapenzi ya kizungu wakati hawawezi mi nikimpenda demu namtongoza hivyo hivyo hivyo kwa wiki moja akikataa basi najaribu mwingine kwa sababu the higher the risk the higher the return.

aah wapi! Mbona umelia kwa kukataliwa na mrembo ambae hata humjui vizuri.

Angekukubali halafu ukagundua Ana mtu, Nina Hakka unelectable hadithi ya mtu kuwa malaya.
 
:A S angry::A S angry::A S angry::A S angry::bump2::bump2::bump2::bump2::bump2::bump2::bump2:
 
aah wapi! Mbona umelia kwa kukataliwa na mrembo ambae hata humjui vizuri.

Angekukubali halafu ukagundua Ana mtu, Nina Hakka unelectable hadithi ya mtu kuwa malaya.

.Mkuu ile ilikuwa feelings tu ,sometimes inatokea mbona kawaida tu kwa mtu kulia kwa demu anayemkubali
 
Wiki iliyopita nilikuwa nasafiri kutoka Mwanza kuja Dar na basi bahati mzuri katika kiti nilikaa na mrembo mmoja tukawa tunapiga stori mpaka Dar bahati nzuri yule mrembo alinipa namba zake za simu basi tukawa tunachat vizuri naongea naye vizuri katika maongezi yetu nikatokea kumpenda huyo mrembo basi juzi nilipomwambia nampenda kanijibu hivi .Kwamba yuko single na hataki kuwa na mtu kwa sasa basi nimelia mpaka basi Kweli inauma kukataliwa hivi jamani .Hata nikimpigia simu hapokei na meseji hajibu

Naomba ushauri please

Mkuu kaunga ,lara ,kongosho ,snowball,snow white ,bilie ,naomba ushauri wenu
 
Halafu hawa mademu wa siku hizi sijui vipi ,mimi msomi ananikataa alafu anamkubalia dereva tax au bajaj

Mbuzi hapigiwi gitaa. Wakati wewe unampigia mbuzi gitaa na dereva wa taxi anamuonyeshea huyo mbuzi majani, unadhani mbuzi ataenda kwa nani? kwako au kwa dereva taxi?
 
Back
Top Bottom