- Thread starter
- #21
labda umepata bwana a.k.a kidumu...
Labda Ovulation... Huwa inaleta kisirani kwa baadhi ya wadada..
sijawahi wala ctarajii.huyu mmoja ananitia kizunguzungu huyo kidumu wa nn
nina mwaka na nusu kwenye ndoa.tangu nimfahamu nina miaka6
Fanya maombi, jiombee wewe, muombee na yeye. Labda kuna tatizo linaendelea katika ulimwengu wa roho. Pray pray and pray.
labda umepata bwana a.k.a kidumu...
give your self a break nenda likizo hata wiki hivi ili ummiss mwenzio. manake kuonana kila siku na kulala kila siku pamoja inaboa kweli kwani mtazoeana kupita kiasi.
game pia humpi? hebu jitahidi kurejea hali ya kawaida, mume asije akakuona kisirani na kukutafutia msaidizi..hawakawii wale wenzetu!!
game pia humpi? hebu jitahidi kurejea hali ya kawaida, mume asije akakuona kisirani na kukutafutia msaidizi..hawakawii wale wenzetu!!
ndani ya mwaka mmoja na nusu tu kishakuwa bored! akifikisha miaka 20 au 30 si ndiyo hatataka hata kumuona?
leo ctaki hata mgusano.anatia huruma
well said... kuna wengine hawana muda wa kubembeleza mtu anayenuna bila sababu
GALIMA uwe makini san ausije lala na watoto bure ukamuachia baridi.muda wa kulala umefika ctaman hata kulala naye kitanda kimoja.bado sebulen na jf
hivi scraper unalo nyumbani haya ujiongezee scraper jingine la nini?
GALIMA naiona shida hapo ila nenda kwanza kampe liwazo kesho miye kungwi wako nitakupa mengine. Jua kuwa ibilisi kakusimamia anataka kukushataki usiwe mjinga lol!hata kama nyege hamna nenda kazitafute kwa kuoga na kukaa mapozi yake ya kiuchokozi mamii itafute network chezeya sh chooni weye?leo ctaki hata mgusano.anatia huruma