mbisom ramos
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 811
- 393
Jamani eti kuna uwezekano wa kumtoa msichana bikira halafu asitokwe na damu!!? maana me sielewi
yah....bikira huwa mara nyingi ina kauka.....
Mmmh! Changa la macho hilo!
Bikira sio lazima atoke damu, kumbuka michezo mingi ya utotoni kama kupanda baiskeli n.k huondoa bikira....
Je alipata maumivu makali wakati mnaduu? If yes inawezekana kweli ni bikira, ila kama ulipata ushirikiano wa kutosha, na akakukatia viuno, mkabadili style zote ujue umeliwa....
By the way hongera, eid umesherekea kwa utamu, loh
mleta mada yawezekna kabisa kumbikiri mtu ila asitokwe na damu. mfano binti wengi waliokulia maisha ya vijijini kazi ngumu kama kupanda juu ya mti kukata kuni kuendesha baiskeli hufanya vile vi hyphen kuwa weak zaid na pengine vinatoweka bila hata kuingiliwa kimwili. Binti wa namna hii huwa hana tofauti na yule ambaye hivi vi hyphen vipo ila tu huyu hatatokwa na damu kama akiandaliwa vizuri ili asichubuke lkn atakuwa na maumivu makali wa tendo la siku ya kwanza hadasante mtaalam
mleta mada yawezekna kabisa kumbikiri mtu ila asitokwe na damu. mfano binti wengi waliokulia maisha ya vijijini kazi ngumu kama kupanda juu ya mti kukata kuni kuendesha baiskeli hufanya vile vi hyphen kuwa weak zaid na pengine vinatoweka bila hata kuingiliwa kimwili. Binti wa namna hii huwa hana tofauti na yule ambaye hivi vi hyphen vipo ila tu huyu hatatokwa na damu kama akiandaliwa vizuri ili asichubuke lkn atakuwa na maumivu makali wa tendo la siku ya k
mleta mada yawezekna kabisa kumbikiri mtu ila asitokwe na damu. mfano binti wengi waliokulia maisha ya vijijini kazi ngumu kama kupanda juu ya mti kukata kuni kuendesha baiskeli hufanya vile vi hyphen kuwa weak zaid na pengine vinatoweka bila hata kuingiliwa kimwili. Binti wa namna hii huwa hana tofauti na yule ambaye hivi vi hyphen vipo ila tu huyu hatatokwa na damu kama akiandaliwa vizuri ili asichubuke lkn atakuwa na maumivu makali wa tendo la siku ya kwanza hadasante mtaalam
karibu tena. Lakini wewe kufungulia jana ndo kuanza kwa kuzini???? mwaya utam umeupata ila tu umetenda dhambi. Lakini pia furah umeambulia kubikiri wenzio wanzeeka pasi kubkiri atii so mtunze huyu binti kama mboni atakufaa baadae. usiendeee kuzini umeskia eeh!
mleta mada yawezekna kabisa kumbikiri mtu ila asitokwe na damu. mfano binti wengi waliokulia maisha ya vijijini kazi ngumu kama kupanda juu ya mti kukata kuni kuendesha baiskeli hufanya vile vi hyphen kuwa weak zaid na pengine vinatoweka bila hata kuingiliwa kimwili. Binti wa namna hii huwa hana tofauti na yule ambaye hivi vi hyphen vipo ila tu huyu hatatokwa na damu kama akiandaliwa vizuri ili asichubuke lkn atakuwa na maumivu makali wa tendo la siku ya kwanza hadi azoee.
usikarii kwamba kila bikra lazima atokwe damu. mfano kuna incidence labda binti kapata PCO AMBAZO ZIMELEAD KWENYE DYSIFUNCTIONAL BLEEDING, kitabibu itabidi wamfanyie D&C hata kama ni bikra sasa wafikir utaikuta tena? yapo mazingira mengi sana ila tu ubikira wa mtu ni uaminifu wake ulioko moyoni basi.
karibu tena. Lakini wewe kufungulia jana ndo kuanza kwa kuzini???? mwaya utam umeupata ila tu umetenda dhambi. Lakini pia furah umeambulia kubikiri wenzio wanzeeka pasi kubkiri atii so mtunze huyu binti kama mboni atakufaa baadae. usiendeee kuzini umeskia eeh!
Asante ntajaribu kumtunza ikiwezekana aje kuwa mke!!!
Asante ntajaribu kumtunza ikiwezekana aje kuwa mke!!!
hutakiwi kujaribu bali kufanya kweli. inaumiza sana kuachwa ama kuchezewa na mwanaume pasi malengo sema ndo hivyo wadogo zangu hawa huwa hawaelewi kila ukisema ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa.
Hakuna ushirikiano wowote zaidi ya kutiwa makucha shingoni na kumwagiwa machozi!!!!
Inawezekana kweli changa ila mbna zile sehemu ni ngumu kiasi mpaka hata mm naumia!?
rutta nakumije sasa idi hii? hivi hata salam tu imekuwa ngumu? lol basi pokea za kwangu zikiwa zimejaa upendo na baraka na maombi ya kufanikiwa ndani ya kapu la salam za jf. ujumbe ukifanikiwa usinisahau