nisaidieni hili

Eversmilin Gal

JF-Expert Member
Feb 5, 2012
778
269
wewe uko kazini halafu ukamuacha rafiki yako anakula good time na laaziz wa moyo wako kisa eti unamuamini huyo rafiki yako kweli,
mimi nina wivu ctembei naye cjui anayofanya ila hilo la wao wale gud time wakati cpo mmmmm,,,, cjui kwa wewe upande wako
 
wewe uko kazini halafu ukamuacha rafiki yako anakula good time na laaziz wa moyo wako kisa eti unamuamini huyo rafiki yako kweli,
mimi nina wivu ctembei naye cjui anayofanya ila hilo la wao wale gud time wakati cpo mmmmm,,,, cjui kwa wewe upande wako

Kuna mengi ya kujadili hapa.Ila ni hatari kufanya haya.OUT OF TOPIC:uandishi wa kuweka herufi kama "cjui" ni wa kitoto sana,hauvutii!
 
Na waweza kufa ukawaachia
watu wanaponda maraha...niwakwako ukiwa naye kama hapo ni vema ukamsahau its only if wataka kuishi maisha marefu
otherwise ukichokonoa chokonoa mbona utakufa siku si zako??????
 
mmh! mbona mdogo wangu leo sikusomi vzr? yaani uko job hubby yuko na a friend of yours wana kula good time???

there are a lot to discuss here kwanza tuanze hivi

huyo rafikiyo ana mume?
kwanini ueke imani ya namna hiyo?
ulishawah kumuhakikishia kuwa mbadala wako on your absence?
mumeo hana hofu ya kukuumiza?
wewe je huna wivu kias kwamba ukaweka mipaka kwenye mahusiano yako?
kazi yako itachukua muda gani?
humwamni mumeo kias cha kuona bora umpe shosti kuliko aende akatafute mwenyewe kitaa?
ulishawah kujaribu kufanya hivyo kwa mume wa shosti wako?
urafiki wkao ni kama wangu na cacico kwamba we can share anything incluiding waume (joke) lol!
unao watoto?
yaani haya ni maswali robo tu ya niliyotaka kuyajua kwanza kabla sijaanza kuchangia.
 
Last edited by a moderator:
VEVE IKO KABIDHI SIMBA BUCHA YAKO ILINDE KISA SIMBA NAKWAMBIA YEYE IKO NA ALLERGY YA NYAMA!!!!!!!!!!!!! Hahahaaaa! U gotta be kidding me!!!!!! Sometimes huna mpango na bidhaa ila ukipewa OFA NZURI wanunua tu, sasa utafanyaje? Kuku kaingia mwenyew bandani, manati ya nini?
 
VEVE IKO KABIDHI SIMBA BUCHA YAKO ILINDE KISA SIMBA NAKWAMBIA YEYE IKO NA ALLERGY YA NYAMA!!!!!!!!!!!!! Hahahaaaa! U gotta be kidding me!!!!!! Sometimes huna mpango na bidhaa ila ukipewa OFA NZURI wanunua tu, sasa utafanyaje? Kuku kaingia mwenyew bandani, manati ya nini?

wakiswazi@work
 
VEVE IKO KABIDHI SIMBA BUCHA YAKO ILINDE KISA SIMBA NAKWAMBIA YEYE IKO NA ALLERGY YA NYAMA!!!!!!!!!!!!! Hahahaaaa! U gotta be kidding me!!!!!! Sometimes huna mpango na bidhaa ila ukipewa OFA NZURI wanunua tu, sasa utafanyaje? Kuku kaingia mwenyew bandani, manati ya nini?

watoto wa mjini tunasema chapa ilale.............mwizi haambiwi kaiba iwapo mali yako umeipeleka kwake wew mwenyewe.
lakini lara 1 kwani kukopesha tapeli ni kosa?
 
Last edited by a moderator:
ah wee demu wangu atakuwaje karibu sana na bdsty mpaka akae nae peke yke? ah wanaume hawana dogo wanamega tuu ata kama anajua huyo ni demu wa besti wake
 
wewe uko kazini halafu ukamuacha rafiki yako anakula good time na laaziz wa moyo wako kisa eti unamuamini huyo rafiki yako kweli,
mimi nina wivu ctembei naye cjui anayofanya ila hilo la wao wale gud time wakati cpo mmmmm,,,, cjui kwa wewe upande wako

hii sientertain kabisa, kwani watu hutambulishana kama kaka na dada KUMBE NYUMA YA LENS......Don't try this in yo relationship, chochote chenye miguu miwili hakipaswi kuaminiwa
 
hii sientertain kabisa,
kwani watu hutambulishana kama kaka na dada KUMBE NYUMA YA
LENS......Don't try this in yo relationship, chochote chenye miguu
miwili hakipaswi kuaminiwa

Umeona eeh! Its not healthy kwa kweli. Kuna bint alimuamini mdogo wake(wana share baba) akawa anatoka na mchumba wa dada lunch, mara outing za usiku yeye amechoka anabaki home kutahamaki jamaa kageuza kibao akaoa mdogo mtu! Hapana chezea midume.
 
wewe uko kazini halafu ukamuacha rafiki yako anakula good time na laaziz wa moyo wako kisa eti unamuamini huyo rafiki yako kweli,
mimi nina wivu ctembei naye cjui anayofanya ila hilo la wao wale gud time wakati cpo mmmmm,,,, cjui kwa wewe upande wako

nifafanulie kula gud time kwanza labda ndio nitaweza kifunguka...
 
wewe uko kazini halafu ukamuacha rafiki yako anakula good time na laaziz wa moyo wako kisa eti unamuamini huyo rafiki yako kweli,
mimi nina wivu ctembei naye cjui anayofanya ila hilo la wao wale gud time wakati cpo mmmmm,,,, cjui kwa wewe upande wako

Naomba nikusaidie kidogo. Kwavile unampenda sana Laaziz wako na pia rafiki yako ni shoga ako wa kufa mtu, kwanini upate shida Bana, Kula threesome kunako sita kwa sifa.
Jamani Eversmillin Gal! Imeandikwa kizuri kula na rafiki yako.
Sasa wewe shida yako nini kula na rafiki yako?
Kama umeweza kushirikiana naye kwa kila jambo kwanini isiwe ub00?
Acha roho mbaya, kwani roha mbaya hailipi!


Bazazi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom