Kwani kazi ya mwanaume ni kumpa mwanamke pesa?Kwa mawazo mtaenda hata kuiba ili kuwaridhisha wapenzi wenu.mbna anae, sasa sijui kwann hamp pesa, mana wik kam 2 zilizpit waligmbn, nilipmuuliz hakuniambia.
Kwahiyo kila mbongo anafikiria hivyo??Basi mimi inawezekana sio mbongo kamili...ngoja niongee na mama usikute baba sio baba!lizzy we sio mbongo nini?...hiyo ndo kazi ya kwanza ushaambiwa mwanaume pesa sura peleka kwenu
Ukiona hivyo ujue baba yake anazo
mimi nimesoma na watoto wa aina hiyo....
Wewe unafikiri hiyo laki 5 nyingi kumbe mwenzio sio pesa kabisa
jiulize sekondary alisoma wapi?
Na high school alisoma wapi?
Utakuta alisoma shule alizolipa miliioni kadhaa ada....
Na pengine mchezo wa kula ada kaunza zamani...
Kwani kazi ya mwanaume ni kumpa mwanamke pesa?Kwa mawazo mtaenda hata kuiba ili kuwaridhisha wapenzi wenu.