Nisaidie wakuu kabla ya likizo jF

Babkey

JF-Expert Member
Dec 10, 2010
4,834
3,655
Ni hili, binafsi jibu silifahamu.
Jamaa alimkabidhi Mzee wake 50000/=
Baadae akaanza kuchukua kidogo kidogo.
Mchakato ulikuwa kama hivi;
50000/=
Alichotoa ~~~~kilichobaki
.................................................
20,000/= ~~~ 30,000/=
15,000/= ~~~15,000/=
9,000/= ~~~6,000/=
6000/= ~~~0000/=
..................... ....................
50,000/= ~‎~‎51,000/=
..................... .....................

Kwanini kuna tofauti kwenye jumla
na mzee alitoa pesa yotebila kubakiza!?
 
Ni hili, binafsi jibu silifahamu.
Jamaa alimkabidhi Mzee wake 50000/=
Baadae akaanza kuchukua kidogo kidogo.
Mchakato ulikuwa kama hivi;
50000/=
Alichotoa ~~~~kilichobaki
.................................................
20,000/= ~~~ 30,000/=
15,000/= ~~~15,000/=
9,000/= ~~~6,000/=
6�000/= ~~~0000/=
..................... ....................
50,000/= ~‎~‎51,000/=
..................... .....................

Kwanini kuna tofauti kwenye jumla
na mzee alitoa pesa yotebila kubakiza!?

MATHEMATICALLY Hii APPROACH NI WRONG COZ HUEZ JUMLISHA KILICHO BAKI MWANZO NA KILICHO CHUKULIWA MWISHO, MFANO KA MA HAPO KATK HATUA YA 2 ASINGE CHUKUA 15000 INSTEAD AKACHUKUA 10000 SO UKIJUMLISHA VILIVYO BAKI NI 50000, SO UNATAKIWA KUJUMLISHA KILE KILICHO CHUKULIWA NA KILE KILICHO BAKI PALE ALIPO CHUKUA MARA YA MWIISHO.
 
Ni hili, binafsi jibu silifahamu.
Jamaa alimkabidhi Mzee wake 50000/=
Baadae akaanza kuchukua kidogo kidogo.
Mchakato ulikuwa kama hivi;
50000/=
Alichotoa ~~~~kilichobaki
.................................................
20,000/= ~~~ 30,000/=
15,000/= ~~~15,000/=
9,000/= ~~~6,000/=
6�000/= ~~~0000/=
..................... ....................
50,000/= ~‎~‎51,000/=
..................... .....................

Kwanini kuna tofauti kwenye jumla
na mzee alitoa pesa yotebila kubakiza!?

ukjumlsha alchotoa utapata jbu sahh
 
Ni hili, binafsi jibu silifahamu.Jamaa alimkabidhi Mzee wake 50000/=Baadae akaanza kuchukua kidogo kidogo.Mchakato ulikuwa kama hivi; 50000/=Alichotoa ~~~~kilichobaki.................................................20,000/= ~~~ 30,000/=15,000/= ~~~15,000/= 9,000/= ~~~6,000/= 6?000/= ~~~0000/=..................... .................... 50,000/= ~?~?51,000/=..................... .....................Kwanini kuna tofauti kwenye jumlana mzee alitoa pesa yotebila kubakiza!?
rudia kujumlisha utapata jibu.
 
kapumzike babu....

logically huwezi kupata jawabu lolote la msingi kwa kujumlisha vitu "vilivyobaki" kwenye kila stage ya hiyo transaction yako...ni maharage jumlisha sukari..hapana jibu kamili..ha ha
 
Back
Top Bottom