Habari wanajanvi,naitaji namba za wale jamaa wanaonunua magari yaliyopata ajali ama kwa tatizo lolote na wao kuyachinja na kuuza kitu kimoja kimoja kutoka gari husika, tafadhali kama unafahamu pm namba zao au ntafute kwa 0756664797,.comment za mzaha apa sio mahali pake naitaji msaada