Nisaideni jamani kwa ushauri

Nisaideni jamani kwa ushauri

Kapande

Member
Joined
Dec 19, 2012
Posts
53
Reaction score
20
Mm ni mwanaume miaka 30 nimeoa nna mtoto 1,bado nasoma masters chuo kimoja hapa Dodoma,
mwaka huu mwez wa 4 nlikutana na msichana m1 nikiwa na rafiki yangu tukiwa kwenye gari rafiki yangu alinishawishi sana tusimame na kuongea naye baada ya mm kumsifia yule demu. Tukasmama na kumsimamisha yule manzi jamaa alikuwa anajuana naye,bas akatuelekeza wap ofice yake ilipo ili kesho yake tumtembelee kwa jthada kubwa za rafiki yangu kesho tukaenda ofisin kwake .tulipofika rafk yangu akaondoka na gari na kuniacha naye kwa ushawishi kwamba nshindwe mwenyewe.kweli nikamtongoza akakataa kwa muda but nikapata sim namba yake tukaendelea na mawasliano mpaka akakubali
4weeks later nikatembea naye tena nymbani kwangu baada ya wife kwenda likizo,kiukweli huyu mwanamke anajua malove sana.ok nilifanya makosa makubwa sana lakini haya ndo yanayonitesa
1.Ili kumpata skumwambia marital status yangu
2.Nili du naye bare mbali nayeye kusisitiza tuvae condoms sasa ameconceive preg ya 1 month sasa
3.Sasa anang'ang'ania aje home na wife amerudi namkatalia kwa kumwambia kuna watoto wa dada yangu nna kaa nao hivyo si heshima kwa yy kuja kwa sasa.Sababu hii muda unavyokwenda inapoteza uhalali kwake na kumwambia ukweli jinsi nimwonavyo sasa itakuwa balaa kias inaweza fika kwa wife kwa mtiti atakaouleta.Lakini pia aweza fanya abortion ambayo mm staki,
Sasa sielewi nfanyeje kwan naona siku anaweza kuja hom.naomba ushauri wana jf
 
Watu wengine huwa mnajitafutia matatizo wenyewe. Ushauri wangu kama vipi muoe tu, usimzingue mtoto wa watu!
 
^^
Wakati mwingine ni busara kuyanywa ukishayakoroga.
Mpe haki zote kama mke,usimharibie maisha.
^^
 
kuna mijitu migumu hata kushauri hivi una mke unawezaje kuhangaika bila ndom?ok umeteleza unampeleka home hivi ww ni mzima kweli kichwani sasa muoe awe mke wa pili
 
Hahaha unanchekesha! Yaani ulikoroge wewe na saa ya kulinywa nipanic mie?

Jishaue hapa huyo dada atakuja na surprise utakoma mwenyewe. Si uwaulize wanaumr wenzio how to cheat? Hiyo masters sijui kama italisaidia taifa!
da punguza panic ndugu yangu.jibu ni ndio na majibu fresh.
 
Duh! naomba kwanza ujibu haya maswali mawili:-
1. unampenda mkeo??
2. unaipenda ndoa yako?
Mke ni bora kuliko mwanasesere, mwambie huyo mwanamke ukweli kuwa una mke na unaishi nae, mwambie mkeo kilichotokea na muombe msamaha, mwisho achana kabisa na huyo mwanamke kama unahisi bado unaihitaji hiyo ndoa yako!!
kapime ngoma, ili usije muua huyo mkeo asiye na hatia,kisha acha umalaya na kama ndio tabia yako tumia kinga!!
 
Hahaha unanchekesha! Yaani ulikoroge wewe na saa ya kulinywa nipanic mie?

Jishaue hapa huyo dada atakuja na surprise utakoma mwenyewe. Si uwaulize wanaumr wenzio how to cheat? Hiyo masters sijui kama italisaidia taifa!

da umefika mbali
 
Ni ngumu sana lakini i afadhali ukiri kosa kabla mkeo hajakuja kushtukizwa na wapambe wa mtaani. Kwangu mimi jikaze mweleze mkeo ila sasa uwe makini sema ukweli ila wenye uogo usisem kwamba ulimleta hapo home maanake hayo yatakuwa makosa zaid. Kisha tubu kwake kila ktu.

Baadae mwambie binti kwamba unamke hivyo wewe utalea huyo mtoto akizaliwa.dah!!!!!!!!!!! Ila ni ngumu????
 
ameshaonja asali haachi kumbuka hakumwambia dada wa watu ukweli ana mke yy ajiandae kuwa na wake wawili
 
Mwambie ukweli na huo uongo unaoumpa ni wa kitoto eti kuna watoto wa ndugu yangu nyumbani. Siku ilipombanjua hukujua kama kuna watoto................kama anaakili ataisoma ramani. Lakini huna jinsi mwambie tu na mamsap pia mpe habari maana soon utaadhirika.
 
F.U!!!!!!!!!!!!! (The fact i said the F word on sunday is totally n completely ya fault!) What era are you in dude? THE 60'S?????? You need to upgrade your game! I dont know! Ila mimi wanaume za watu wengi walionitongoza na wanaonitongoza they are always upfront like IM MARRIED N LOVE MY WIFE BUT I LOVE YOU TOO! IM CRAZY ABT MY KIDS BUT IM CRAZY ABT YOU TOO! (At this stage the wife has become the enemy) I get it this shit is crazy but atleast ALL THE CARDS ARE ON THE TABLE!!!!!!! To give you a chance to know what you are gettin your A.ss into. Plus if i dig you ill say YES either way even if you are married to the IGP!!!!!! That preg might even not be yours dude? MAN UP N TELL HER THE TRUTH!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
F.U!!!!!!!!!!!!! (The fact i said the F word on sunday is totally n completely ya fault!) What era are you in dude? THE 60'S?????? You need to upgrade your game!
Duh!
 
Nina wasiwasi na Elimu unayodai unayo the way unajiexpress.
Nimeshawishiwa na rafiki yangu.
Demu.
Manzi.
Umeenda naye kwako wakati una family.
Umekutana kwa road.
Siku ilofuata uko kazini kwake.
Je ni kweli wewe ni a Master's student?
Ulichofanya ni kitu cha kufanywa na form two wa shule ya kata tena asiyejitambua.
 
Nina wasiwasi na Elimu unayodai unayo the way unajiexpress.
Nimeshawishiwa na rafiki yangu.
Demu.
Manzi.
Umeenda naye kwako wakati una family.
Umekutana kwa road.
Siku ilofuata uko kazini kwake.
Je ni kweli wewe ni a Master's student?
Ulichofanya ni kitu cha kufanywa na form two wa shule ya kata tena asiyejitambua.
sina uhakika kwamba hata maprofesa hawafanyi makosa hususani ya kimapenz,Yes what i did was very wrong,but it is love affairs and I can say i was blind of all mistakes i have done at that time.
 
Back
Top Bottom