Nisaideni jamani kwa ushauri

Nisaideni jamani kwa ushauri

Unalo hilo........!Mambo mengine yanaudhi sana,yani sasa hivi ndo unajua una mke wakat humuheshimu hata kidogo mpaka mwanamke uliyemuokota barabaran unamlaza kwenye kitanda cha mkeo na kumpa mimba juu.........Mungu tusaidie.
 
Mm ni mwanaume miaka 30 nimeoa nna mtoto 1,bado nasoma masters chuo kimoja hapa Dodoma,
mwaka huu mwez wa 4 nlikutana na msichana m1 nikiwa na rafiki yangu tukiwa kwenye gari rafiki yangu alinishawishi sana tusimame na kuongea naye baada ya mm kumsifia yule demu. Tukasmama na kumsimamisha yule manzi jamaa alikuwa anajuana naye,bas akatuelekeza wap ofice yake ilipo ili kesho yake tumtembelee kwa jthada kubwa za rafiki yangu kesho tukaenda ofisin kwake .tulipofika rafk yangu akaondoka na gari na kuniacha naye kwa ushawishi kwamba nshindwe mwenyewe.kweli nikamtongoza akakataa kwa muda but nikapata sim namba yake tukaendelea na mawasliano mpaka akakubali
4weeks later nikatembea naye tena nymbani kwangu baada ya wife kwenda likizo,kiukweli huyu mwanamke anajua malove sana.ok nilifanya makosa makubwa sana lakini haya ndo yanayonitesa
1.Ili kumpata skumwambia marital status yangu
2.Nili du naye bare mbali nayeye kusisitiza tuvae condoms sasa ameconceive preg ya 1 month sasa
3.Sasa anang'ang'ania aje home na wife amerudi namkatalia kwa kumwambia kuna watoto wa dada yangu nna kaa nao hivyo si heshima kwa yy kuja kwa sasa.Sababu hii muda unavyokwenda inapoteza uhalali kwake na kumwambia ukweli jinsi nimwonavyo sasa itakuwa balaa kias inaweza fika kwa wife kwa mtiti atakaouleta.Lakini pia aweza fanya abortion ambayo mm staki,
Sasa sielewi nfanyeje kwan naona siku anaweza kuja hom.naomba ushauri wana jf

Wewe! Una master na mke afu umefanya UPUUZI!
Anyway, kwa vile umemkosea mke wako (ambaye ni innocent) na umemkosea bint ya watu (other innocent), usifanye kosa jengine la kumkataa yeyote, coz yule mschana, ulimsifia, rafiki mnafiki akakutia matatizoni, mschana alikukataa still 4 weeks unamfatafata, moreover hakutaka kuduu kavkav. Eti 'lakini nnamke' ndio unatambua eenh! Akili zangu mbovu zingekushauri ivi:
unatakiwa kubalance, mkeo ukimwambia kinaweza kisieleweke, but kama unahis atajua tu, ni bora umwambie, huyo mschana mwengine ni LAZIMA umwambie unamke, kama vipi umkodie tu sehem nyengine, kumuacha yoyote SIO UTU HATA KIDOGO!
 
Wewe! Una master na mke afu umefanya UPUUZI!
Anyway, kwa vile umemkosea mke wako (ambaye ni innocent) na umemkosea bint ya watu (other innocent), usifanye kosa jengine la kumkataa yeyote, coz yule mschana, ulimsifia, rafiki mnafiki akakutia matatizoni, mschana alikukataa still 4 weeks unamfatafata, moreover hakutaka kuduu kavkav. Eti 'lakini nnamke' ndio unatambua eenh! Akili zangu mbovu zingekushauri ivi:
unatakiwa kubalance, mkeo ukimwambia kinaweza kisieleweke, but kama unahis atajua tu, ni bora umwambie, huyo mschana mwengine ni LAZIMA umwambie unamke, kama vipi umkodie tu sehem nyengine, kumuacha yoyote SIO UTU HATA KIDOGO!

Kuwa na Masters na uwezo wa kuchambua mambo ni vitu viwili tofauti mkuu; Huyu mleta uzi aliambiwa na demu wake kuwa avae mpira akakataa, so what do you expect afterward?
Acha avune alichopanda.
 
Mkeo umeishinae kwa muda mrefu, umafaham vizuri hisia zake, mm naona ni vizuri ukatafuta njia ambayo unaona ukimuelekeza suala hilo atakuelewa, pia na muweke wazi na huyo msichana wako wa nje... Then jalibu kuongeza upendo kwake ili asipate mawazo wa kuabort...
 
Cha msingi mwambie kuwa una mke ukiona ana dalili zozote za kukuharibia kwa wife, we wahi kwa wife mwambie ukweli kuhusu huyo demu ila usiseme ulizini nae hapo home kwenu. Umwombe msamaha wife, akikusamehe endeleeni na maisha kama kawa, huyo mtoto wa nje lea tu. Kama mnapendana na mkeo mtaendelea fresh tu, japo uaminifu utashuka sana. Ila usirudie tena uthenge wako huo. Lakini, una uhakika hiyo mimba sio ya huyo mshikaji wako wanataka kukupakazia tu?
 
Kapande, kwa nini hutaki afanye abortion? Mimi nadhani ungesema tu hapa nini unafikiria/unapanga kufanya ili wadau waanzie hapo katika kutoa ushauri
 
da punguza panic ndugu yangu.jibu ni ndio na majibu fresh.

ulimtongoza na baada ya wiki nne mkafanya bare foot bila soksi sasa wewe unaamini majibu ya mwezi mmoja tuu ile ya kurudia mara ya pili huiamini eeeh!! kama wewe ni muislamu ita shehe ufunge ndoa ya pili na umhudumie na kama wewe ni mkristo utajijua tumia ubongo wako ulionao mkeo asijue mpeleke kwa wazazi wako akajifungulie huko na hakikisha mkeo hajui maana akijua ndo mwisho wa ndoa yako maana mna mtoto mmoja tuu hivyo hatakubali kuzinguliwa na wewe, hii ji kama unataka ndoa yako iendelee maana ujue pia mkeo kuna mwanaume wa haja mwenye pesa zake anamsumbua mkeo amkubalie ila kwa heshima na mapenzi yako mkeo anamfungia vioo na kumuwekea headphones masikioni yaani anakuona na kukusikiliza wewe tuu sasa kijua umemmimbisha mtu ujue mke huna ataondoka na mwanae akuachie manzi wako, tamaa mbele mauti nyuma. La kwako hili na tena mbona yule rafiki yako aliyehusika hata ukamtongoza huyu binti hakusaidii, mwambie ashuhulike si mzigo wenu wote?
 
Ila mimi wanaume za watu wengi walionitongoza na wanaonitongoza they are always upfront like IM MARRIED N LOVE MY WIFE BUT I LOVE YOU TOO! IM CRAZY ABT MY KIDS BUT IM CRAZY ABT YOU TOO! !

na wewe huwakubalia hao wame za watu... si ndio????
 
Mm ni mwanaume miaka 30 nimeoa nna mtoto 1,bado nasoma masters chuo kimoja hapa Dodoma,
mwaka huu mwez wa 4 nlikutana na msichana m1 nikiwa na rafiki yangu tukiwa kwenye gari rafiki yangu alinishawishi sana tusimame na kuongea naye baada ya mm kumsifia yule demu. Tukasmama na kumsimamisha yule manzi jamaa alikuwa anajuana naye,bas akatuelekeza wap ofice yake ilipo ili kesho yake tumtembelee kwa jthada kubwa za rafiki yangu kesho tukaenda ofisin kwake .tulipofika rafk yangu akaondoka na gari na kuniacha naye kwa ushawishi kwamba nshindwe mwenyewe.kweli nikamtongoza akakataa kwa muda but nikapata sim namba yake tukaendelea na mawasliano mpaka akakubali
4weeks later nikatembea naye tena nymbani kwangu baada ya wife kwenda likizo,kiukweli huyu mwanamke anajua malove sana.ok nilifanya makosa makubwa sana lakini haya ndo yanayonitesa
1.Ili kumpata skumwambia marital status yangu
2.Nili du naye bare mbali nayeye kusisitiza tuvae condoms sasa ameconceive preg ya 1 month sasa
3.Sasa anang'ang'ania aje home na wife amerudi namkatalia kwa kumwambia kuna watoto wa dada yangu nna kaa nao hivyo si heshima kwa yy kuja kwa sasa.Sababu hii muda unavyokwenda inapoteza uhalali kwake na kumwambia ukweli jinsi nimwonavyo sasa itakuwa balaa kias inaweza fika kwa wife kwa mtiti atakaouleta.Lakini pia aweza fanya abortion ambayo mm staki,
Sasa sielewi nfanyeje kwan naona siku anaweza kuja hom.naomba ushauri wana jf

Hiyo masters nina wasiwasi nayo, by the way story yako haina maudhui yanayoweka ulazima wa kutuambia unasoma masters na wapi.
 
Weeeeeeeeeeeeeeeeee acha kulala usingizi mwambie akatoa. kama hana hela mpe hata laik3 aende akaitoa mwambie haujawa tayari kumwoa
 
Mm ni mwanaume miaka 30 nimeoa nna mtoto 1,bado nasoma masters chuo kimoja hapa Dodoma,
mwaka huu mwez wa 4 nlikutana na msichana m1 nikiwa na rafiki yangu tukiwa kwenye gari rafiki yangu alinishawishi sana tusimame na kuongea naye baada ya mm kumsifia yule demu. Tukasmama na kumsimamisha yule manzi jamaa alikuwa anajuana naye,bas akatuelekeza wap ofice yake ilipo ili kesho yake tumtembelee kwa jthada kubwa za rafiki yangu kesho tukaenda ofisin kwake .tulipofika rafk yangu akaondoka na gari na kuniacha naye kwa ushawishi kwamba nshindwe mwenyewe.kweli nikamtongoza akakataa kwa muda but nikapata sim namba yake tukaendelea na mawasliano mpaka akakubali
4weeks later nikatembea naye tena nymbani kwangu baada ya wife kwenda likizo,kiukweli huyu mwanamke anajua malove sana.ok nilifanya makosa makubwa sana lakini haya ndo yanayonitesa
1.Ili kumpata skumwambia marital status yangu
2.Nili du naye bare mbali nayeye kusisitiza tuvae condoms sasa ameconceive preg ya 1 month sasa
3.Sasa anang'ang'ania aje home na wife amerudi namkatalia kwa kumwambia kuna watoto wa dada yangu nna kaa nao hivyo si heshima kwa yy kuja kwa sasa.Sababu hii muda unavyokwenda inapoteza uhalali kwake na kumwambia ukweli jinsi nimwonavyo sasa itakuwa balaa kias inaweza fika kwa wife kwa mtiti atakaouleta.Lakini pia aweza fanya abortion ambayo mm staki,
Sasa sielewi nfanyeje kwan naona siku anaweza kuja hom.naomba ushauri wana jf


wewe ni Philip Kapande?
 
na hakikisha mkeo hajui maana akijua ndo mwisho wa ndoa yako maana mna mtoto mmoja tuu hivyo hatakubali kuzinguliwa na wewe, hii ji kama unataka ndoa yako iendelee maana ujue pia mkeo kuna mwanaume wa haja mwenye pesa zake anamsumbua mkeo amkubalie ila kwa heshima na mapenzi yako mkeo anamfungia vioo na kumuwekea headphones masikioni yaani anakuona na kukusikiliza wewe tuu sasa kijua umemmimbisha mtu ujue mke huna ataondoka na mwanae akuachie manzi wako,


sakapal hii imekaa kufikirika zaidi , especial kwa ndoa za karne hii.
 
Last edited by a moderator:
jaribu kulimaliza mwenyewe ulilolianza, usitake kutushirikisha dhambi yako humu jamvini, kumbuka huu ni mwezi mtukufu.
 
Wew ni ---- tu..Ushauriwe nin na kwa nin hukuomba ushauri kabla ya kwenda kuzini?..Wew hujielewi kabisaaaa...
 
Ama kweli waliosema Elimu si Elimu mpaka pale itakapotumia kutatua yanamzunguka mtu au watu hawakukosea kabisa.

Kwa haya uliyofanya ndugu kama ungetumia hata nusu tu ya busara ya usomi wala hata usingeanza kwa kujitambulisha Level yako ya Elimu kwani umetukanisha jina la Wanazuoni. Ningekuwa mimi ningekwenda moja kwa moja kwenye kile nilichofanya tu.
 
MMMMH umelikoroga mwite rafiki yako akupe ushauri nasaha na vipimo,,
 
Mm ni mwanaume miaka 30 nimeoa nna mtoto 1,bado nasoma masters chuo kimoja hapa Dodoma,
mwaka huu mwez wa 4 nlikutana na msichana m1 nikiwa na rafiki yangu tukiwa kwenye gari rafiki yangu alinishawishi sana tusimame na kuongea naye baada ya mm kumsifia yule demu. Tukasmama na kumsimamisha yule manzi jamaa alikuwa anajuana naye,bas akatuelekeza wap ofice yake ilipo ili kesho yake tumtembelee kwa jthada kubwa za rafiki yangu kesho tukaenda ofisin kwake .tulipofika rafk yangu akaondoka na gari na kuniacha naye kwa ushawishi kwamba nshindwe mwenyewe.kweli nikamtongoza akakataa kwa muda but nikapata sim namba yake tukaendelea na mawasliano mpaka akakubali
4weeks later nikatembea naye tena nymbani kwangu baada ya wife kwenda likizo,kiukweli huyu mwanamke anajua malove sana.ok nilifanya makosa makubwa sana lakini haya ndo yanayonitesa
1.Ili kumpata skumwambia marital status yangu
2.Nili du naye bare mbali nayeye kusisitiza tuvae condoms sasa ameconceive preg ya 1 month sasa
3.Sasa anang'ang'ania aje home na wife amerudi namkatalia kwa kumwambia kuna watoto wa dada yangu nna kaa nao hivyo si heshima kwa yy kuja kwa sasa.Sababu hii muda unavyokwenda inapoteza uhalali kwake na kumwambia ukweli jinsi nimwonavyo sasa itakuwa balaa kias inaweza fika kwa wife kwa mtiti atakaouleta.Lakini pia aweza fanya abortion ambayo mm staki,
Sasa sielewi nfanyeje kwan naona siku anaweza kuja hom.naomba ushauri wana jf
ndio tatizo la kubalehe ukubwani ,wewe una mke unapleka malaya nyumbani afu bare dah! we kiboko .........sasa mwambie ukweli kuwa una mke !
na wewe utalea mtoto tu
naye ajifunze kuparamia wanaume hovyo!
 
Mm ni mwanaume miaka 30 nimeoa nna mtoto 1,bado nasoma masters chuo kimoja hapa Dodoma,
mwaka huu mwez wa 4 nlikutana na msichana m1 nikiwa na rafiki yangu tukiwa kwenye gari rafiki yangu alinishawishi sana tusimame na kuongea naye baada ya mm kumsifia yule demu. Tukasmama na kumsimamisha yule manzi jamaa alikuwa anajuana naye,bas akatuelekeza wap ofice yake ilipo ili kesho yake tumtembelee kwa jthada kubwa za rafiki yangu kesho tukaenda ofisin kwake .tulipofika rafk yangu akaondoka na gari na kuniacha naye kwa ushawishi kwamba nshindwe mwenyewe.kweli nikamtongoza akakataa kwa muda but nikapata sim namba yake tukaendelea na mawasliano mpaka akakubali
4weeks later nikatembea naye tena nymbani kwangu baada ya wife kwenda likizo,kiukweli huyu mwanamke anajua malove sana.ok nilifanya makosa makubwa sana lakini haya ndo yanayonitesa
1.Ili kumpata skumwambia marital status yangu
2.Nili du naye bare mbali nayeye kusisitiza tuvae condoms sasa ameconceive preg ya 1 month sasa
3.Sasa anang'ang'ania aje home na wife amerudi namkatalia kwa kumwambia kuna watoto wa dada yangu nna kaa nao hivyo si heshima kwa yy kuja kwa sasa.Sababu hii muda unavyokwenda inapoteza uhalali kwake na kumwambia ukweli jinsi nimwonavyo sasa itakuwa balaa kias inaweza fika kwa wife kwa mtiti atakaouleta.Lakini pia aweza fanya abortion ambayo mm staki,
Sasa sielewi nfanyeje kwan naona siku anaweza kuja hom.naomba ushauri wana jf
Mkubwa umerikologa pole kwa mkasa huo,kwa sasa ngoja niweke lawama pembeni,
Unachoweza kufanya ongea na Huyo mdada mwambie ukweli na uwepo wa ndoa yako,nahisi yeye Ndio anapaswa kuwa msemajia na muamuzi mkubwa ,pole sana!
 
Back
Top Bottom