Mathematic
Member
- May 15, 2011
- 56
- 2
Mimi ni kijana wa kiume mwenye miaka 33,nilikuwa na mpenzi wangu alienizidi miaka miwili na ana mtoto wa kike wa miaka 19 sasa. Mapenzi yetu yalidumu kwa miaka 6 lakini kutokana na migongano ilokuwa ikitokea mara kwa mara hatukuweza kutambulishana kwa wazazi wetu hadi 2010 tulipoamua kuachana rasmi nami nikamruhusu aolewe kama ataamua kufanya hivyo.
Hivi ninavyoongea tayari ameshaolewa na anakaa huko kwa mume wake. Kila mtu hana kinyongo na mwenzake. Tatizo ni kuwa nimejikuta nimeingia kwenye mahusiano ya kimapenzi na yule binti yake ambaye wakati nipo na mama yake alikuwa ananiita UNCLE.
Nimekuwa nae kwa muda wa miezi 7 lakini kinachonitisha ni kwamba ana ujauzito ambao kwa mazingira naona ni kweli unaweza kuwa wakwangu. Kwa sasa mama yake bado hajajua maana ni mimba changa sana.
Je,mama yake akijua kuwa mhusika ni mimi, reaction yake itakuwaje? What will be my position before the eyes of the law?
Nampenda sana huyu binti na sitaki atoe mimba yangu.
Nishaurini tafadhari waungwana.
Hivi ninavyoongea tayari ameshaolewa na anakaa huko kwa mume wake. Kila mtu hana kinyongo na mwenzake. Tatizo ni kuwa nimejikuta nimeingia kwenye mahusiano ya kimapenzi na yule binti yake ambaye wakati nipo na mama yake alikuwa ananiita UNCLE.
Nimekuwa nae kwa muda wa miezi 7 lakini kinachonitisha ni kwamba ana ujauzito ambao kwa mazingira naona ni kweli unaweza kuwa wakwangu. Kwa sasa mama yake bado hajajua maana ni mimba changa sana.
Je,mama yake akijua kuwa mhusika ni mimi, reaction yake itakuwaje? What will be my position before the eyes of the law?
Nampenda sana huyu binti na sitaki atoe mimba yangu.
Nishaurini tafadhari waungwana.