Power G JF-Expert Member Apr 20, 2011 3,886 1,193 Aug 31, 2011 #4 AMINATA 9 said: edi njema kaka na dada zangu Click to expand... Karibuni sana ila Umbea mwiko jamvini
AMINATA 9 said: edi njema kaka na dada zangu Click to expand... Karibuni sana ila Umbea mwiko jamvini
Vin Diesel JF-Expert Member Mar 1, 2011 9,088 6,368 Aug 31, 2011 #5 Karibu sana Aminata wa Keita....na ww una mwanya?
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,555 Aug 31, 2011 #7 AMINATA 9 said: edi njema kaka na dada zangu Click to expand... karibu sana shosti soma sana jf rules..
AMINATA 9 said: edi njema kaka na dada zangu Click to expand... karibu sana shosti soma sana jf rules..
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Aug 31, 2011 #9 kanga moko laki si pesa waijua? karibu Tanga tule iddi
Bei Mbaya JF-Expert Member Nov 24, 2010 2,262 843 Aug 31, 2011 #10 usiwe aminata mbaya.kuna ban kwa watundu
mikatabafeki JF-Expert Member Dec 29, 2010 12,772 4,641 Aug 31, 2011 #11 karibu sana na ujifunze kuoanisha heading yako na kilicho ndani ya maelezo yako ur welcum
LiverpoolFC JF-Expert Member Apr 12, 2011 11,348 3,219 Sep 1, 2011 #12 Karibu sana Mpendwa na ujisikie uko ndani ya wa2 wasiotaka mambo ya kihuni hata kidogo.
Ze burner JF-Expert Member Jan 5, 2011 514 83 Sep 1, 2011 #14 karibu mwaya. hata mbuyu ulianza kama mchicha.
Roulette JF-Expert Member Dec 15, 2010 5,579 5,375 Oct 8, 2011 #19 Never seen this before... hata kama ni too late, karibu mama.