uwepo
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 600
- 741
Haaaaaa eti moto unanikumbusha kuna jamaa aliiba dem wa mshikaji akajiona mjanja aloo saiv anapumilia mirija dem n pasua kichwaMkuu usipende kulilia moto
Haaaaaa eti moto unanikumbusha kuna jamaa aliiba dem wa mshikaji akajiona mjanja aloo saiv anapumilia mirija dem n pasua kichwaMkuu usipende kulilia moto
Katiba mpya inahitàjika lasivyo utaumizwa sanaWakuu heshima kwenu.
Baada ya kuumizwa kimapenzi na kuzingatia ushauri wenu nimepata ahueni kubwa sana.
Baada ya hayo yote nimechukulia Poa na nakula vyombo.Usiulize ni vyombo gani?
Mungu awabariki.
Unamtaka au unampenda?Mkuu msalimu sn kama ni kweli Upo naye.
Mwambie nimemtumia dedication songs 2 humu aje asikilize.


.........Chagua moja!
Teh teh teeeeeh!Na wewe huwa unaumizwa?
Dada usihofu, natumia majimaji sn.Sio ngumu I know.Halafu sio kihivyoooooMwanaume unajiita tamuuu? Lazma uumizwe aisee.
Hongera kwa kupata suluhisho la. Matatizo yako. Kamata health insurance manake soon afya itakupa majibu yako kwenye figo, ini na magoti/joints
Dada usihofu, natumia majimaji sn.Sio ngumu I know.Halafu sio kihivyooooo
Jibu lilikuwa rahisi sana,kama nini dada yako ungesema tu kuwa unampenda basi!Mkuu unanionea sn.jje's is my lovely sister. Sio hivo uwazavyo.Nampenda, ninamheshimu sana sana.