GIB
JF-Expert Member
- Mar 2, 2012
- 336
- 92
Naomba uweke kumbukumbu sawa. el siyo waziri mkuu msfaafu bali ni WAZIRI MKUU ALIYEJIUZULU KWA SHINIKIZO ZA BUNGE LILILOMTUHUMU KUKIUKA MAADILI YA UONGOZI KATIKA SAKATA LA MKATABA WA KIFISADI WA RICHMOND.
Ndugu zangu watanzania wapenda maendeleo ya nchi yetu.
Nawaombeni tuweke kando tofauti zetu za vyama nk na tuungane kwa pamoja na Mhe Waziri Mkuu Mstaafu ndugu Edward lowassa kupambana dhidi ya Umaskini,ujinga,maradhi na hasa ufisadi.
Tukiungana kwa dhati tutafanikiwa.
Niko pamoja nawe kwenye mapambano haya
Hii si vita yake peke yake ila ni ya kila mzalendo alipendae taifa hili.
OTIS