Nipo tayari kwa mapambano

OTIS

JF-Expert Member
Sep 7, 2011
2,251
827
Ndugu zangu watanzania wapenda maendeleo ya nchi yetu.
Nawaombeni tuweke kando tofauti zetu za vyama nk na tuungane kwa pamoja na Mhe Waziri Mkuu Mstaafu ndugu Edward lowassa kupambana dhidi ya Umaskini,ujinga,maradhi na hasa ufisadi.
Tukiungana kwa dhati tutafanikiwa.
Niko pamoja nawe kwenye mapambano haya
Hii si vita yake peke yake ila ni ya kila mzalendo alipendae taifa hili.
OTIS
 
Ndugu zangu watanzania wapenda maendeleo ya nchi yetu.
Nawaombeni tuweke kando tofauti zetu za vyama nk na tuungane kwa pamoja na Mhe Waziri Mkuu Mstaafu ndugu Edward lowassa kupambana dhidi ya Umaskini,ujinga,maradhi na hasa ufisadi.
Tukiungana kwa dhati tutafanikiwa.
Niko pamoja nawe kwenye mapambano haya
Hii si vita yake peke yake ila ni ya kila mzalendo alipendae taifa hili.
OTIS

You can't be serious!! Huyu ndiye aliyetufikisha watanzania kwenye umaskini huu! RICHMOND ilikuwa inachota million 152 kwa siku! tukimpa Urais si ndo atatuuza kabisa na kuwa watumwa!!!!
 
Ndugu zangu watanzania wapenda maendeleo ya nchi yetu.
Nawaombeni tuweke kando tofauti zetu za vyama nk na tuungane kwa pamoja na Mhe Waziri Mkuu Mstaafu ndugu Edward lowassa kupambana dhidi ya Umaskini,ujinga,maradhi na hasa ufisadi.
Tukiungana kwa dhati tutafanikiwa.
Niko pamoja nawe kwenye mapambano haya
Hii si vita yake peke yake ila ni ya kila mzalendo alipendae taifa hili.
OTIS

ONLY THE ILLUMINATI SUCCEED.! ILLUMINATI=FREEMASONS..,Jamani mzee wa watu alishasema enough is enough naona mshaanza kumuhusisha na mambo ya kipuuzi eti Illuminati wakati yy ni mtu wa mungu
 
You can't be serious!! Huyu ndiye aliyetufikisha watanzania kwenye umaskini huu! RICHMOND ilikuwa inachota million 152 kwa siku! tukimpa Urais si ndo atatuuza kabisa na kuwa watumwa!!!!

Kasema yupo tayari kwa mapambano
Kwanini tusimuamini?
OTIS
 
ONLY THE ILLUMINATI SUCCEED.! ILLUMINATI=FREEMASONS..,Jamani mzee wa watu alishasema enough is enough naona mshaanza kumuhusisha na mambo ya kipuuzi eti Illuminati wakati yy ni mtu wa mungu

OTIS ni mie
Yeye utamkuta kanisani
Tunasubiri ratiba ya mwaka mzima itoke
Mapambano ndio yanaanza
Mafisadi kaeni chonjo
OTIS
 
Kasema yupo tayari kwa mapambano
Kwanini tusimuamini?
OTIS

Watanzania kama kuna jambo tutajutia ni kumwamini na kumpa nchi huyu jamaa! tutarudi enzi zile za kuvaa katambuga!!
 
Watanzania kama kuna jambo tutajutia ni kumwamini na kumpa nchi huyu jamaa! tutarudu enzi zile za kuvaa katambuga!!

Huna imani kwamba mafisadi wote atawanyoosha?
OTIS
 
makada wa magamba washalipwa na fisadi lowasa kuja kumnadi hapati kura yyangu kamwe
 
Msijali kuhus wa kumuunga mkono lowasa 2015, mi nipo tayari kunuunga mkono Lowasa 2015 but ikiwa kama CDM itamsimamisha mzito kabwela kugombea urais badili ya slaa.
PAMOJA SANA MKUU.
 
OTIS wewe ndiye rich nini?
huyu mtu nifisadi kila mtu analijua hilo. dhambi hiyo aliyoitenda imeingia hadi kwenye vina saba (DNA) za watanzania wote hivyo hata watoto wakiwa bado kwenye matumbo ya mamayo (placenta) wanajua kunafisaidi. linalo umiza vichwa vya watanzania wote. Natutaendelea kuridhishana (inherit) kizazi hadi kizazi mpaka kizazi cha tano cha watanzani wataendelea kujua ubaya wake.
Ameingia kwenye historia ya Tanzania.
Mungu Ibariki Tanzania mapambano yanaendelea, Mungu wahukumu mafisadi yote tena mchana peupe , amen amen.

OTIS ni mie
Yeye utamkuta kanisani
Tunasubiri ratiba ya mwaka mzima itoke
Mapambano ndio yanaanza
Mafisadi kaeni chonjo
OTIS
 
makada wa magamba washalipwa na fisadi lowasa kuja kumnadi hapati kura yyangu kamwe

Uzalendo ndio utuongoze mkuu

OTIS wewe ndiye rich nini?
huyu mtu nifisadi kila mtu analijua hilo. dhambi hiyo aliyoitenda imeingia hadi kwenye vina saba (DNA) za watanzania wote hivyo hata watoto wakiwa bado kwenye matumbo ya mamayo (placenta) wanajua kunafisaidi. linalo umiza vichwa vya watanzania wote. Natutaendelea kuridhishana (inherit) kizazi hadi kizazi mpaka kizazi cha tano cha watanzani wataendelea kujua ubaya wake.
Ameingia kwenye historia ya Tanzania.
Mungu Ibariki Tanzania mapambano yanaendelea, Mungu wahukumu mafisadi yote tena mchana peupe , amen amen.

Na kiboko ya mafisadi ni Lowassa
OTIS
 
, Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (Cahadema), amemvaa Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, akimtaka kuacha kutumia matamanio yake ya kuwania urais mwaka 2015 kuwadanganya wananchi, kwa kuwaaminisha kuwa anaumizwa na tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana nchini. Akiwahutubia mamia ya wananchi katika mikutano ya kampeni inayoendelea katika Jimbo la Arumeru Mashariki jana, Mdee alisema kuwa Lowassa anataka kuwaghilibu Watanzania kuwa anaumizwa na tatizo la ukosefu wa ajira wakati akijua ni matokeo ya kushindwa kwa sera na mipango ya chama na serikali yake, ambayo yeye mwenyewe amekuwa sehemu ya uongozi wake kwa muda mrefu.
Akiwa katika Kijiji cha Ndatu katika Kata ya Poli, Mdee aliwaambia wananchi kuwa kama Lowassa ana uchungu na vijana na nchi hii kwa ujumla, alipaswa kuwa ameonesha hilo kwa kutoa ushauri anaoutoa sasa wakati akiwa madarakani, na si wakati huu ambapo amekuwa akiandamwa na tuhuma za ufisadi hata ndani ya chama chake.
Mdee aliongeza kuwa kama kweli Lowassa, ambaye alijiuzulu uwaziri mkuu Februari 2008 kwa kashfa ya ufisadi wa kampuni tata ya Richmond, hataki nchi ilipuke, basi akishauri chama na serikali yake kuziba mianya yote ya ufisadi na kuwachukulia hatua za kisheria watuhumiwa wote wa ufisadi nchini ambao wametumia nafasi zao kuwaibia Watanzania na kuifilisi nchi.
Mbunge huyo alisema kuwa Lowassa anawadanganya wananchi akionesha kuwa ana uchungu na tatizo la ajira kwa vijana, bali ana matamanio ya urais, kwa kuwa alikuwa serikalini na ndani ya chama chake kwa muda wote huo, na wala tatizo la ukosefu wa ajira halikuanza leo wala halikuchipuka kama uyoga.
"Hili limesababishwa na kushindwa kwa mfumo, sera na mipango ya chama kilichoko madarakani sasa lakini pia mafisadi wamesababisha vijana kukosa ajira, hivyo ufisadi ndio tishio kubwa kabisa kwa nchi kwa sasa.
"Namwambia Lowassa kabla tatizo la ajira kwa vijana halijafikia kilele cha kulipua nchi, ufisadi unaofanywa na viongozi wa CCM na serikali utakuwa umeshailipua nchi hii, hivyo azungumzie ufisadi kwanza…tena asiende mbali, apekue tu nyaraka za CHADEMA aangalie tamko letu la Mwembeyanga mwaka 2007, ambapo tulitaja orodha ya aibu ya mafisadi na ufisadi ndipo apige kelele," alisema Mdee.


Uzalendo ndio utuongoze mkuu



Na kiboko ya mafisadi ni Lowassa
OTIS
 
Jamani mtu alieshiriki kuiingiza nchi kwenye umasikini mkubwa na kuongezeka kwa maradhi tunahimizwa kushirikiana nae? jamani kama angekuwa ni mpambanaji kweli kwa nini alikubali kujiudhulu ilhali anaujua ukweli wote kuhusu Rich na Dowa?
Angekuwa anapambana asinge subiri tume ya akina Mwakyembe imuumbue,leo hii wanajitokeza akani OTIS kutuhimiza kushirikiana nao.Dhambi ya kuifahamu inauma kuliko dhambi ya bahati mbaya SIWEZI KUMUUNGA MKONO EL.HAYO NI MAWAZO YAKO NA HAYA NI MAWAZO YANGU
 
WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu kwa kutajwa katika kashfa ya mdadi wa umeme uliohusisha kampuni tata ya Richmond Development LLC, Edward Lowassa, amelipwa mamilioni ya fedha na wafanyabiashara wa Kisomali, Fikra Pevu imethibitisha.Uchunguzi wa muda mrefu wa Fikra Pevu umeonyesha kwamba Wasomali hao kupitia kampuni ya Integrated Properties Investment (T) Limited walimlipa Lowassa Sh milioni 450 kupitia kampuni yake ya Barare Limited. Malipo hayo yalielezwa kuwa ni deni ambalo Lowassa kupitia Barare alikua akiidai kampuni hiyo ya Integrated ambayo kwa Tanzania imekuwa ikijihusisha na uwekezaji katika majengo.
Uchunguzi wa Fikra Pevu umethibitisha kwamba malipo hayo yalifanyika miezi michache kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2010, na Lowassa na mkewe Regina Mumba Lowassa, walikubali malipo hayo kwa kupewa hisa 7,500 zikiwa na thamani ya Sh 60,000 kwa hisa moja.
Uchunguzi wa muda mrefu wa Fikra Pevu umeonyesha kwamba Wasomali hao kupitia kampuni ya Integrated Properties Investment (T) Limited walimlipa Lowassa Sh milioni 450 kupitia kampuni yake ya Barare Limited. Malipo hayo yalielezwa kuwa ni deni ambalo Lowassa kupitia Barare alikua akiidai kampuni hiyo ya Integrated ambayo kwa Tanzania imekuwa ikijihusisha na uwekezaji katika majengo.
trans.gif


Uzalendo ndio utuongoze mkuu



Na kiboko ya mafisadi ni Lowassa
OTIS
 
Eleza anavyopambana......anapambanaje!!
Alisema yupo fit kupambana (afya) kwahiyo mapambano yake yanahitaji nguvu?
kama ndivyo, basi akawaajiri jamaa wa WWE wrestling

kupambana dhidi ya Umaskini,ujinga,maradhi na hasa ufisadi.
 
Ndugu zangu watanzania wapenda maendeleo ya nchi yetu.
Nawaombeni tuweke kando tofauti zetu za vyama nk na tuungane kwa pamoja na Mhe Waziri Mkuu Mstaafu ndugu Edward lowassa kupambana dhidi ya Umaskini,ujinga,maradhi na hasa ufisadi.
Tukiungana kwa dhati tutafanikiwa.
Niko pamoja nawe kwenye mapambano haya
Hii si vita yake peke yake ila ni ya kila mzalendo alipendae taifa hili.
OTIS

OTIS u cant be serious, huyu ni moja kati ya watu waliosababbisha umaskini miongoni mwa watanzania leo unasema tuungane naye kupambana na umaskini? How can we? Kumbuka suala la umeme linavyoifilisi nchi? ni vijana wangapi wanakosa ajira kutokana na tatizo la umeme? Naye ana mkono wake mrefu hapo kwenye umeme. Mwambie arudishe pesa zetu kwanza bana

 
Sizani kama huyu mtu ana akili timamu kutuletea huu upuuzi apa.jitu akili zake zakufikiri zimeishia apo anatulea upumbavu apa.
 
Angalia usichinje mbwa!maana hiyo njaa ilipokufikisha pabaya!usiliendekeze tumbo ndugu!uchafu mwenzetu kwako pilau.njaa!
 
Back
Top Bottom