OTIS
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,251
- 827
Ndugu zangu watanzania wapenda maendeleo ya nchi yetu.
Nawaombeni tuweke kando tofauti zetu za vyama nk na tuungane kwa pamoja na Mhe Waziri Mkuu Mstaafu ndugu Edward lowassa kupambana dhidi ya Umaskini,ujinga,maradhi na hasa ufisadi.
Tukiungana kwa dhati tutafanikiwa.
Niko pamoja nawe kwenye mapambano haya
Hii si vita yake peke yake ila ni ya kila mzalendo alipendae taifa hili.
OTIS
Nawaombeni tuweke kando tofauti zetu za vyama nk na tuungane kwa pamoja na Mhe Waziri Mkuu Mstaafu ndugu Edward lowassa kupambana dhidi ya Umaskini,ujinga,maradhi na hasa ufisadi.
Tukiungana kwa dhati tutafanikiwa.
Niko pamoja nawe kwenye mapambano haya
Hii si vita yake peke yake ila ni ya kila mzalendo alipendae taifa hili.
OTIS