Ndugu zangu watanzania wapenda maendeleo ya nchi yetu.
Nawaombeni tuweke kando tofauti zetu za vyama nk na tuungane kwa pamoja na Mhe Waziri Mkuu Mstaafu ndugu Edward lowassa kupambana dhidi ya Umaskini,ujinga,maradhi na hasa ufisadi.
Tukiungana kwa dhati tutafanikiwa.
Niko pamoja nawe kwenye mapambano haya
Hii si vita yake peke yake ila ni ya kila mzalendo alipendae taifa hili.
OTIS
Labda katajirika kiasi ya kwamba hatahitaji kutuibia tena!You can't be serious!! Huyu ndiye aliyetufikisha watanzania kwenye umaskini huu! RICHMOND ilikuwa inachota million 152 kwa siku! tukimpa Urais si ndo atatuuza kabisa na kuwa watumwa!!!!
Ndugu zangu watanzania wapenda maendeleo ya nchi yetu.
Nawaombeni tuweke kando tofauti zetu za vyama nk na tuungane kwa pamoja na Mhe Waziri Mkuu Mstaafu ndugu Edward lowassa kupambana dhidi ya Umaskini,ujinga,maradhi na hasa ufisadi.
Tukiungana kwa dhati tutafanikiwa.
Niko pamoja nawe kwenye mapambano haya
Hii si vita yake peke yake ila ni ya kila mzalendo alipendae taifa hili.
OTIS
Ndugu zangu watanzania wapenda maendeleo ya nchi yetu.
Nawaombeni tuweke kando tofauti zetu za vyama nk na tuungane kwa pamoja na Mhe Waziri Mkuu Mstaafu ndugu Edward lowassa kupambana dhidi ya Umaskini,ujinga,maradhi na hasa ufisadi.
Tukiungana kwa dhati tutafanikiwa.
Niko pamoja nawe kwenye mapambano haya
Hii si vita yake peke yake ila ni ya kila mzalendo alipendae taifa hili.
OTIS
ONLY THE ILLUMINATI SUCCEED.! ILLUMINATI=FREEMASONS..,Jamani mzee wa watu alishasema enough is enough naona mshaanza kumuhusisha na mambo ya kipuuzi eti Illuminati wakati yy ni mtu wa mungu
Hawa ccm walivyokuwavilaza hawana hata habari kuwa kuna wagombea wao waliowapendekeza kama watano hivi ni FREEMASONS!! Hii wala sio tetesi ni fact.Wanaiuza nchi bila kujua kwa njaa yao.
Ndugu zangu watanzania wapenda maendeleo ya nchi yetu.
Nawaombeni tuweke kando tofauti zetu za vyama nk na tuungane kwa pamoja na Mhe Waziri Mkuu Mstaafu ndugu Edward lowassa kupambana dhidi ya Umaskini,ujinga,maradhi na hasa ufisadi.
Tukiungana kwa dhati tutafanikiwa.
Niko pamoja nawe kwenye mapambano haya
Hii si vita yake peke yake ila ni ya kila mzalendo alipendae taifa hili.
OTIS