Manun'guniko
Senior Member
- Jul 23, 2014
- 155
- 59
Habar zenu waAfrika kamili.
Kwa kifupi mimi ni mzima kabisa yaani sijui niseme nini kwa kweli nashukuru kichwa kimepona japo kilikuwa kinauma kwa mbali.
Sijaja humu kwa salamu tu kwa sababu nitaishia kukosolewa lengo kuu ni kuhusu mahusiano nilikuwa naogopa kuingia katika mapenzi kwa sababu yameumiza asilimia kubwa ya watu sasa nimen'gamua akili yangu na sasa nipo tayari kuingia katika mahusiano sasa jambo la msingi nataka tuwe pamoja katika ushauri pale nitakapoleta uzi wa masikitiko na wa furaha.
Kwasababu kuna watu wameshaanza kuninyemelea najua kuna wakweli na waongo niombeeni nisilie kama watu wengine bali niwe nafuraha katika mapenzi kama baadhi ya watu wengine.
Haya jamani nimemaliza sitaki kukosolewa na kukosolewa ni vibaya sana
Nawapendeni wote japo siwajui.
Kwa kifupi mimi ni mzima kabisa yaani sijui niseme nini kwa kweli nashukuru kichwa kimepona japo kilikuwa kinauma kwa mbali.
Sijaja humu kwa salamu tu kwa sababu nitaishia kukosolewa lengo kuu ni kuhusu mahusiano nilikuwa naogopa kuingia katika mapenzi kwa sababu yameumiza asilimia kubwa ya watu sasa nimen'gamua akili yangu na sasa nipo tayari kuingia katika mahusiano sasa jambo la msingi nataka tuwe pamoja katika ushauri pale nitakapoleta uzi wa masikitiko na wa furaha.
Kwasababu kuna watu wameshaanza kuninyemelea najua kuna wakweli na waongo niombeeni nisilie kama watu wengine bali niwe nafuraha katika mapenzi kama baadhi ya watu wengine.
Haya jamani nimemaliza sitaki kukosolewa na kukosolewa ni vibaya sana
Nawapendeni wote japo siwajui.