Nipo seriously kwa yule aliye serious

Nipo seriously kwa yule aliye serious

mahmouddy

Senior Member
Joined
Jan 29, 2015
Posts
128
Reaction score
30
Natafuta mchumba wa Kiislam, umri usio zidi miaka 22, awe mzuri na mwenye kujitambua, elimu nataka kuanzia form Six na kuendelea, nataka anaeendelea kusoma au aliyeajiliwa au aliye jiajili, kama haupo serious usije PM, mimi ni mtumishi wa Uma.

Asanteni.
 
Natafuta mchumba wa Kiislam,umri usio zidi miaka 22,awe mzuri na mwenye kujitambua,elimu nataka kuanzia form Six na kuendelea,nataka anaeendelea kusoma au aliyeajiliwa au aliye jiajili,kama haupo serious usije PM,mimi ni mtumishi wa Uma.

Asanteni
NINA MIAKA 26 NATAFUTA MUME PIA
 
Back
Top Bottom