Ninamtoto wa miezi mitatu niliezaa nae aliniambia nitoe nikakataa basi tukawa tumekosana alinifanyia visa vingi nilikua nyumbani nimejingua nikamjulisha aliuliza jinsia tu hakuendelea na mawasiliano kimya mpaka sasa.
Kilichonifanya nije hapa
kuna kaka alikuwa ana mke hawakufunga amezaa nae mtoto mmoja akampeleka chuo huko akazaa tena na mwanaume mwingine wakawa wameachana huyo kijana akamchukua mtoto wake.
Sasa kaja anataka kunioa mimi nimemwambia siwezi mtoto wangu bado mdogo anavyodai kanipenda kweli mtoto wake anateseka alipo ni kwa mama wake wa kambo na huyo kijana so anataka tuishi pamoja.
Upande wangu sasa
1) Sijui kwanini bado nampenda sana baba mtoto nasubiria muujiza wa Mungu labda atarudi na tutaishi pamoja kwani sipendi kuzaa watoto baba tofauti basi tu ishatokea.
2) Nitamwaminije kama yupo serious? isije ikawa ndo yale yale tena maana anadai tuishi pamoja wakati anafanya mipango ya ndoa.
3) Nahisi mtoto bado mdogo angalau angekua anamwaka, sijui niamue nini kwa sasa naombeni tu mnisaidie mawazo nifanye nini ndugu zanguni?
Kilichonifanya nije hapa
kuna kaka alikuwa ana mke hawakufunga amezaa nae mtoto mmoja akampeleka chuo huko akazaa tena na mwanaume mwingine wakawa wameachana huyo kijana akamchukua mtoto wake.
Sasa kaja anataka kunioa mimi nimemwambia siwezi mtoto wangu bado mdogo anavyodai kanipenda kweli mtoto wake anateseka alipo ni kwa mama wake wa kambo na huyo kijana so anataka tuishi pamoja.
Upande wangu sasa
1) Sijui kwanini bado nampenda sana baba mtoto nasubiria muujiza wa Mungu labda atarudi na tutaishi pamoja kwani sipendi kuzaa watoto baba tofauti basi tu ishatokea.
2) Nitamwaminije kama yupo serious? isije ikawa ndo yale yale tena maana anadai tuishi pamoja wakati anafanya mipango ya ndoa.
3) Nahisi mtoto bado mdogo angalau angekua anamwaka, sijui niamue nini kwa sasa naombeni tu mnisaidie mawazo nifanye nini ndugu zanguni?