Sosthenes Maendeleo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 2,649
- 1,497
Tutajie idadi ya magari uliyoyaona hapo njiapanda, je kuna traffic light?
Anaishi dsm mkuu...kwao n mwanza...Samahan anaishi mkoa gan
Mbwa ukimjua jin hakusumbuiTutajie idadi ya magari uliyoyaona hapo njiapanda, je kuna traffic light?
Na kweli mkuu...kila nnapowacliana nae mambo yngu hayaend kabiiisaaaaKuna best yalimkumba hayo hayo, nikamshauri aendelee na yake lakini hakutaka kunisikiliza,kiukweli wengi wa wasichana akishasafiri kwenda chuo au mkoani mambo hubadilika, kama sio kuachwa basi kusalimiwa, cha muhimu achana nae endelea na maisha yako, huwezi kumbadilisha l, atakuharibia mtiririko wako wa maisha
Wahi kumchunia na endelea, huwa inakuwa ngumu but mwisho wa siku muda utaenda na jeraha lako litatoa na kupona,Na kweli mkuu...kila nnapowacliana nae mambo yngu hayaend kabiiisaaaa
mkuu mapenzi hayana mwenyewe huyo kaweka moyo wako kwenye rambo wadada akili zao zinabadilika kila siku uliza moyo wako kwa sasa unatakaje kama bado unampenda amini huu muda sio sahihi wa wewe kuwa na wewe
mimi niliachagwa miaka 4 iliyopita bila hata kosa na upole wangu rejea kwenye avatar yangu ila mwaka huu ananitaka leo kesho nimecheka sana kaza moyo
sema we upo kama muimba kwaya bro
Nnahic we are on the same boat