Chawa wa lumumbashi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 793
- 1,749
Bonjour monsieur,Bonjour mademoiselle.
Mapenzi matamu sana aisee leo au muda huu nipo njiani naelekea ukeni kutambulishwa na mke wangu mtarajiwa huko Kondoa Dodoma kwa upande wa familia ya mke wangu mtarajiwa miss.A
Wakuu jana si niliwaambia jinsi Jamii Forums imenipa mke? Si mnakumbuka wakuu basi leo ndiyo naenda kutambulishwa huko ukeni Kondoa Dodoma nipo na Mark x yangu mpya new model namba E.
Sema tumechelewa kufika maeneo kwa sababu kulikuwa na foleni pale Mbezi ya Kimara asubuhi hii daah nilikerekwa balaa wakuu.
Hopefully next year tumepanga kufunga ndoa takatifu nitachagua either kwao Kondoa au nyumbani kwenye ukoo wa Kimaro mkuu.
Wakuu nawaambia humu Jamii forus kuna wife material nyie vijana kaeni tu kuwananga mabinti wa humu ila kaeni mkijua humu kuna mawife material wakuu.
My love miss A nakupenda na nitakupenda daima. Mwenye wivu ajinyonge.
" love 😍 is beutiful thing"
Terminer monsieur el mademoiselle
Pia soma: Hatimaye Jamii Forums imenipa mchumba
Mapenzi matamu sana aisee leo au muda huu nipo njiani naelekea ukeni kutambulishwa na mke wangu mtarajiwa huko Kondoa Dodoma kwa upande wa familia ya mke wangu mtarajiwa miss.A
Wakuu jana si niliwaambia jinsi Jamii Forums imenipa mke? Si mnakumbuka wakuu basi leo ndiyo naenda kutambulishwa huko ukeni Kondoa Dodoma nipo na Mark x yangu mpya new model namba E.
Sema tumechelewa kufika maeneo kwa sababu kulikuwa na foleni pale Mbezi ya Kimara asubuhi hii daah nilikerekwa balaa wakuu.
Hopefully next year tumepanga kufunga ndoa takatifu nitachagua either kwao Kondoa au nyumbani kwenye ukoo wa Kimaro mkuu.
Wakuu nawaambia humu Jamii forus kuna wife material nyie vijana kaeni tu kuwananga mabinti wa humu ila kaeni mkijua humu kuna mawife material wakuu.
My love miss A nakupenda na nitakupenda daima. Mwenye wivu ajinyonge.
" love 😍 is beutiful thing"
Terminer monsieur el mademoiselle
Pia soma: Hatimaye Jamii Forums imenipa mchumba