Toto mol
JF-Expert Member
- Oct 18, 2022
- 2,404
- 3,566
Mambo vipi wakuu kwema habari za siku ya mwaka mpya mmeanza vema, sawa sawa sasa mi nina ka jambo nimekaleta nipate ushari,
Hivi kati ya Azam na Star times wapi wapo vizuri pia kuhusu vipindi vyao, matatizo yao, nk. Kwa upande wangu mimi natumia star times, ila baada ya Google nikaona na Azam wapo vizuri,
Kuna father anataka kuchukua nimeshamshauri achukue StarTimes, ila nataka nikamwambie abebe Azam, sasa nisije laumiwa badaye akapiga yowe anilaumu kumbe sijapata uhakika, sana mnipe ushauri ni huku ama kule, au hapa ama pale,
EATV TOGETHER TUNAWAKILISHA
nb: Santa claus ho ho ho ho merry Christmas and happy New year
Hivi kati ya Azam na Star times wapi wapo vizuri pia kuhusu vipindi vyao, matatizo yao, nk. Kwa upande wangu mimi natumia star times, ila baada ya Google nikaona na Azam wapo vizuri,
Kuna father anataka kuchukua nimeshamshauri achukue StarTimes, ila nataka nikamwambie abebe Azam, sasa nisije laumiwa badaye akapiga yowe anilaumu kumbe sijapata uhakika, sana mnipe ushauri ni huku ama kule, au hapa ama pale,
EATV TOGETHER TUNAWAKILISHA
nb: Santa claus ho ho ho ho merry Christmas and happy New year