Hahahaaaa! Miaka 30
Ila Mkuu usimgegede! Mfahamiane kwanza mambo mengine ukirudiKuhonga sio ttzo , hawezi ondoka patupu
Ila Mkuu usimgegede! Mfahamiane kwanza mambo mengine ukirudi
Ila Mkuu usimgegede! Mfahamiane kwanza mambo mengine ukirudi
Hahahaaaamwanaume kbs amuachie??labda asiwe anatamanisha
Na mm nxt wk niende mwanza nikale sato kwa uhakikaNa mm kesho niende mwanza nikale sato japo siku mbili hizi za wkend
Ndio mkuuUpo mwanza kumbe
Ndio mkuu
Duh sikuwezi ushirombo??Basi nikukaribishe ushirombo mkuu...bill zote kwako..uje na wine za kututosha..then wknd mwanzaa
Ndo pana nn nyegez mkuuShuka nyegezi!
Bata la kutosha.Ndo pana nn nyegez mkuu
Kwamba unakomaa na jiwe mguu wako mguu wake au?Mimi nipe bas slay queen wa Mbeya nimuone nina ziara ya siku 8 Mbeya
Nenda villa kamata swala mmoja tandika pale mtaroni tembea, Kinga muhimu hao unataka kuwaalika Ni mufilisi Kuna midude inakunywa wine chupa, Mara whisky bili laki bado kula alafu nipo bread Ni upuuzi kuwekeza Bora ku hit n' runNenda kirumba kama unashida na mwanamke