Reality of heaven
Senior Member
- Nov 2, 2022
- 108
- 350
Habari wakuu?
Mimi nipo mkoani Mtwara, nimefikiria kuanza biashara ya bucha ya mbuzi, changamoto ni upatikanaji wake! Na utaratibu wa kuanza hii biashara upoje! Naomba kwa mwenye uzoefu anisaidie! Namna ya kuwasafirisha, lakini vibali vyake, na mpaka kupata leseni! Naweza kuanza halafu nikashugulikia lesseni au mpaka uwe na kila kinachohitajika ndio nianze!
Naomba muongozo!
Natanguliza shukrani!
Mimi nipo mkoani Mtwara, nimefikiria kuanza biashara ya bucha ya mbuzi, changamoto ni upatikanaji wake! Na utaratibu wa kuanza hii biashara upoje! Naomba kwa mwenye uzoefu anisaidie! Namna ya kuwasafirisha, lakini vibali vyake, na mpaka kupata leseni! Naweza kuanza halafu nikashugulikia lesseni au mpaka uwe na kila kinachohitajika ndio nianze!
Naomba muongozo!
Natanguliza shukrani!