Sema kosa ulilofanya ili iwe rahis kusaidiwa, tambua kila kosa na namna yake ya kulizungumzia ili lipate ufumbuzi sio kwamba utatumia njia moja kwa kila kitu
niambie mm mdogo wangu...labda utaokota mawili matatu kwangu maana mm ni kaka kwako na sitakosa chochote..jungu kuu halikosi ukoko...njoo pm...ukitaka hata namba nitakupa naumia kuona watu wanajidhuru kwa kukosa ushauri hapa JF...pole na karibu
Mkuu unazingua kama sijafanya kosa la kufukwa kazi na kuyumba kimapato au either kwenda jela si hofu, ikiwa ni mahusiano yatakawa sawa tu, jipe shavu mkuu..
Wanaanzaga hivi hivi , then muda kidogo unasikia jamaa kajiua,
Wanasaikolojia na washauri nasaha , huu ni muda wenu muafaka kabisa kumsaidia jamaa, Ana stress sio kidogo
Siku zote tiba ya kwanza kabisa itayo uweka moyo wako huru na kupata ahueni ni kuweka wazi au kusimulia mzigo uliopo moyoni,utapata ushauri mbali mbali hapa na utachagua ulio sahihi...jaribu ku ongeza kitu hapo juu kwenye ujumbe wako,upate utatuzi wa tatizo lako jomba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.