Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 1,694
- 3,982
Jumamosi nlikuwa na wife tunaenda Bagamoyo kutembea. Tukiwa njiani nilijikuta namsimulia wife habari ya mchepuko wangu ambaye kwa kweli ananisumbua sana kichwa. Amenichanganya sana.
Tulikuwa tunazungumza tu mambo ya maisha na wanawake nikamwambia wanawake wa siku hizi pesa mbele. Hawana hata aibu. Nikaanza msimulia nikiwa nimejisahau kama vile namsimulia mshkaji tu.
Nikamwambia huyo mchepuko nlivyompata na jinsi ambavyo hazipiti siku mbili tatu anaomba pesa.nikamwambia nimememchoka ila nashindwa mwacha sababu ananipa penzi zuri sana.na nina mfeel sana.
Wife aliendelea kusikiliza mpaka nlipomaliza, akaniuliza kama nimemaliza....kwa kweli hapo ndo nikashtuka na kugundua kuwa nlikuwa naharibu. Akaomba nisimamishe gari...na akawa anafungua mlango aruke.
Ikabidi nisimamishe gari ashuke, safari ikaishia hapo na ikabidi nianze mbembeleza arudi garini. Aligoma akachukua taxi kurudi home.ikabidi tu nifuatilie hiyo Taxi maana sikujua anaenda wapi.amefika home anataka abebe nguo aondoke..
Wadau toka Jumamosi nimenuniwa..nikileta zawadi hapokei.unyumba nanyimwa anasema mpaka miezi mitatu ipite nikapime. Then nisubiri mitatu tena nikapime.
Yule mpuuzi kanitumia msg anaomba nimpatie 700,000 aongezee kwenye kodi ya nyumba. Sijataka hata kumjibu shetani mkubwa...muflisi, jini mnyonya damu, majulsi mkubwa, mfitini na mchonganishi. Na leo naenda kuchukua TV,Microwave,fridge,sofa na jiko la gesi.. nimeshawaambia watu wa kirukuu.
Yaani mwanamke ananyonya damu ikiisha anataka nyonya hadi ubongo....sasa ngoja nikabebe vitu vyangu mbwa yule akajibebe na yeye...mtu gani hana shukrani?yaani ananichanganya mpaka namsimulia wife upuuzi wake?
Tulikuwa tunazungumza tu mambo ya maisha na wanawake nikamwambia wanawake wa siku hizi pesa mbele. Hawana hata aibu. Nikaanza msimulia nikiwa nimejisahau kama vile namsimulia mshkaji tu.
Nikamwambia huyo mchepuko nlivyompata na jinsi ambavyo hazipiti siku mbili tatu anaomba pesa.nikamwambia nimememchoka ila nashindwa mwacha sababu ananipa penzi zuri sana.na nina mfeel sana.
Wife aliendelea kusikiliza mpaka nlipomaliza, akaniuliza kama nimemaliza....kwa kweli hapo ndo nikashtuka na kugundua kuwa nlikuwa naharibu. Akaomba nisimamishe gari...na akawa anafungua mlango aruke.
Ikabidi nisimamishe gari ashuke, safari ikaishia hapo na ikabidi nianze mbembeleza arudi garini. Aligoma akachukua taxi kurudi home.ikabidi tu nifuatilie hiyo Taxi maana sikujua anaenda wapi.amefika home anataka abebe nguo aondoke..
Wadau toka Jumamosi nimenuniwa..nikileta zawadi hapokei.unyumba nanyimwa anasema mpaka miezi mitatu ipite nikapime. Then nisubiri mitatu tena nikapime.
Yule mpuuzi kanitumia msg anaomba nimpatie 700,000 aongezee kwenye kodi ya nyumba. Sijataka hata kumjibu shetani mkubwa...muflisi, jini mnyonya damu, majulsi mkubwa, mfitini na mchonganishi. Na leo naenda kuchukua TV,Microwave,fridge,sofa na jiko la gesi.. nimeshawaambia watu wa kirukuu.
Yaani mwanamke ananyonya damu ikiisha anataka nyonya hadi ubongo....sasa ngoja nikabebe vitu vyangu mbwa yule akajibebe na yeye...mtu gani hana shukrani?yaani ananichanganya mpaka namsimulia wife upuuzi wake?