Nipo huku mkoani, nahitaji certificate verified kutoka RITA

kikoozi

JF-Expert Member
Jun 24, 2015
2,030
2,929
Habarini nduu zangu,

Kuna ndugu yangu nimemsaidia kufanya application ya loan board, kuna zoezi la kutuma taarifa ya cheti cha kuzaliwa RITA kwaajili ya verification, zilipita week 2 wakarudisha majibu kwenye system kuwa sijafanya attachment ya cheti usika, nimefanya attachement ya cheti tangu week iliyopita mpaka sasa kimya, na siku zinazidi kuyoyoma, mimi nipo mkoani uku kigoma, je ni njia gani ambayo naweza kufanya ili niweze kupata verification iyo ya RITA ili zoezi la mkopo niendane nalo kwa muda, leo nilienda RITA ya uku mkoani nilipo wakasemahawashughuliki na zoezi ilo la verification kwa uku mkoani Kibondo-Kigoma
 
unataka mkopo wa nini 38 year degree holder
Screenshot_20200817-181351.jpg
 

Mkuu ushauri unaombwa hapa unaweza kuwa msaada kwa vijana wengi. Nami nina kijana yangu anatatizo hilo hilo na siku zinayoyoma.

Habarini nduu zangu, kuna ndugu yangu nimemsaidia kufanya application ya loan board, kuna zoezi la kutuma taarifa ya cheti cha kuzaliwa RITA kwaajili ya verification, zilipita week 2 wakarudisha majibu kwenye system kuwa sijafanya attachment ya cheti usika, nimefanya attachement ya cheti tangu week iliyopita mpaka sasa kimya, na siku zinazidi kuyoyoma, mimi nipo mkoani uku kigoma, je ni njia gani ambayo naweza kufanya ili niweze kupata verification iyo ya RITA ili zoezi la mkopo niendane nalo kwa muda, leo nilienda RITA ya uku mkoani nilipo wakasemahawashughuliki na zoezi ilo la verification kwa uku mkoani Kibondo-kigoma

Ni tatizo la kweli nina kijana wa marehemu kaka yangu naye yuko "dialemma" hajui afanyeje; application ya kwanza walisema hakuweka attachment, ya pili anaambiwa ahesabu ten (10) working days
 
Mkuu ushauri unaombwa hapa unaweza kuwa msaada kwa vijana wengi. Nami nina kijana yangu anatatizo hilo hilo na siku zinayoyoma.



Ni tatizo la kweli nina kijana wa marehemu kaka yangu naye yuko "dialemma" hajui afanyeje; application ya kwanza walisema hakuweka attachment, ya pili anaambiwa ahesabu ten (10) working days
nichek PM
 
Dah hatari sana.Kuna mtu nilimuombea na cheti tuli upload kabisa ajabu ndio kupata huo mrejesho kuwa hatuja ambatanisha cheti..
mimi pia nilimsaidia mtu ikaja hiyo msg
nikaupload ... mpaka leo bado na status haichange
imekbaki ile ile kwamba siku upload
 
Dah hatari sana.Kuna mtu nilimuombea na cheti tuli upload kabisa ajabu ndio kupata huo mrejesho kuwa hatuja ambatanisha cheti..
yani ni kama umekaa folen inafika zamu yako kupata huduma unaambiwa umesahau kitu ... wakati unachukua ulicho sahau ... unaenda kupanga foleni upyaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom