PILEC IVAN LEOPARDO
Member
- Jul 9, 2012
- 13
- 0
chonde chonde tutafutane What's app kama ipo ready 0756 84 98 99.
Nipe 160 nikuachie
daa nipo mwz. Ningekupa hata 130
mkuu laki 20 ndo nini?
Nina lumia 920
huawei g300 mpya tu ina mwezi lete 150000 tu
nahisi hamjaelewanaahsante mm nataka y300
Angalia vizuri hizo huawei kawaida inabidi iwe na 4 gb internal memorry ila kuna nyingi ni 1 au 2 gb
na pia mfuniko lazima uwe na mistari mistari usiwe plane na kusiwe na tangazo nyuma ya hiyo simu ukishindwa kupata nipm