Nipo Dar, Nahitaji mbegu nzuri ya sungura

Nipo Dar, Nahitaji mbegu nzuri ya sungura

I charity Global vision ni kampuni inayowezesha ufugaji Sungura kibiashara hapa Tanzania, office zetu zipo kisutu jengo la red cross ghorofa ya kumi room namba 105 mafunzo ni kila siku njoo upate fursa hii!!
 
Kwa wale wanaohtaji sungura wazuri na wenye soko tuwasiliane kwa namba 0624910126 kwa bei nafuuuu xana ya shling 15000 tu
 
Sungura wa kisasa wanauzwa kwa 75000 kwa mmoja na wanapatikana kwa order .kuna aina 2 za sungura amabazo zinapatikana hapa Tanzania
1.Calfonia
2.Newzaland
Zinapatokana kwa order iliuone faida ya kufuga nilazima uwe na sungura wa kutosha .sina hakika na hali ya hewa ya Dar kama inaweza kufanya vizuri katika hizi aina mbili za sungura ila kwa Nairobi wamefanya vizuri
huu sasa wizi wa mchana.
 
Back
Top Bottom