Kisebengo Kibobori
JF-Expert Member
- Oct 29, 2016
- 295
- 538
Kwa mitazamo hyo yaaan nyie waalimu wetu mtaendelea kukandamizwa hvyohvyo mpaka mwisho wa hii dunia... Hakuna nnachowaza zaid ya kuajiriwa mbona wanaosoma masomo ya biashara hawawaz kuacha vyuo na serikali haijatangaza ajira zao???? Lengo kuu la kusoma sio kuajiriwa pekee na hata kama ni kuajiriwa sio lazima serikali ndio ikuajir