Mkuu usisahau kufika kinaitwa Kijiji kinaitwa Bulenda Buffe kuna Mandhari nzuri sana ni kama Ras fulani amazing japo hapana uwekezaji wowote nilipaona kamani sehemu ya mifugo kula majani tuu
Ila bunda mji moja umekaa kishamba sana kuanzia mpangilio wa mji na hata huduma yaan maduka yamekaa hovyo hovyo na kama sio mwenyeji unaweza dhani hakuna huduma muhim kumbe zipo ila mpangilio ndo jau
Mkuu usisahau kufika kinaitwa Kijiji kinaitwa Bulenda Buffe kuna Mandhari nzuri sana ni kama Ras fulani amazing japo hapana uwekezaji wowote nilipaona kamani sehemu ya mifugo kula majani tuu
Ila bunda mji moja umekaa kishamba sana kuanzia mpangilio wa mji na hata huduma yaan maduka yamekaa hovyo hovyo na kama sio mwenyeji unaweza dhani hakuna huduma muhim kumbe zipo ila mpangilio ndo jau