fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 5,608
- 7,168
Nipo Bunda kupumzika kwa wiki nzima.Pia nitakuwa nawatembelea baadhi ya rafiki zangu ambao wamestaafu kama mimi na wanaishi mbali kidogo na mji huu.
Sawasawa.Karibu hapa Bitaraguru.Nipo Bunda kupumzika kwa wiki nzima.Pia nitakuwa nawatembelea baadhi ya rafiki zangu ambao wamestaafu kama mimi na wanaishi mbali kidogo na mji huu.
SawaSawasawa.Karibu hapa Bitaraguru.
Nipo Bunda kupumzika kwa wiki nzima.Pia nitakuwa nawatembelea baadhi ya rafiki zangu ambao wamestaafu kama mimi na wanaishi mbali kidogo na mji huu.
Nitapita hapo,asantekaribu hapa Migungani msibani, tuko hapa tunaomboleza kwa x Eng Boniface Nyamo- Hanga
🙏Nitapita hapo,asante
Wasalimie hapo matapeli wa Kiikizu maneno 1000 wanaokaa hapo stand ya zamani, opposite na NMB.Nipo Bunda kupumzika kwa wiki nzima.Pia nitakuwa nawatembelea baadhi ya rafiki zangu ambao wamestaafu kama mimi na wanaishi mbali kidogo na mji huu.
Nyamo-Hanga?karibu hapa Migungani msibani, tuko hapa tunaomboleza kwa x Eng Boniface Nyamo- Hanga
Walikuliza?Mjini wali-nyama.Wasalimie hapo matapeli wa Kiikizu maneno 1000 wanaokaa hapo stand ya zamani, opposite na NMB.
Waambie tabia za kishamba
nitawaambiaWasalimie hapo matapeli wa Kiikizu maneno 1000 wanaokaa hapo stand ya zamani, opposite na NMB.
Waambie tabia za kishamba
Mkuu usisahau kufika kinaitwa Kijiji kinaitwa Bulenda Buffe kuna Mandhari nzuri sana ni kama Ras fulani amazing japo hapana uwekezaji wowote nilipaona kamani sehemu ya mifugo kula majani tuuNipo Bunda kupumzika kwa wiki nzima.Pia nitakuwa nawatembelea baadhi ya rafiki zangu ambao wamestaafu kama mimi na wanaishi mbali kidogo na mji huu.
ntamwambia mwenyeji wangu anileteMkuu usisahau kufika kinaitwa Kijiji kinaitwa Bulenda Buffe kuna Mandhari nzuri sana ni kama Ras fulani amazing japo hapana uwekezaji wowote nilipaona kamani sehemu ya mifugo kula majani tuu
Noo.Walikuliza?Mjini wali-nyama.
Ila bunda mji moja umekaa kishamba sana kuanzia mpangilio wa mji na hata huduma yaan maduka yamekaa hovyo hovyo na kama sio mwenyeji unaweza dhani hakuna huduma muhim kumbe zipo ila mpangilio ndo jau
Ndio bunda town hiyoHuu ni uchafu gani?
anhaaa kumbe Bunda nao mpo humu nilidhani pekee angu TuSawasawa.Karibu hapa Bitaraguru.