Panda gari za kuelekea SAKINA, shukia Darajani, kusini utaone ghorofa refu halijakamilika panda juu mpaka ghorofa ya saba kwa kutumia dirisha lolote la upande wa mashariki jirushe utaangukia mtoniMaana sio kwa jimvua hili;
Nisaidieni
Taja location uelewekeKuna kiwanja kipya kinaitwa "The fuzze" hutojutia pesa yako, kama unaweza kunicheki pia tukajumuika pamoja sio mbaya..
Mile stone sikuizi hamna kitu bora hata Kwashabani pale pana kitimoto mojabsafi sana[/QUO