nipewe....

nipewe....

Yaani mtani mie ningepata sampuli ya namna hii, mbona hiyo habari ya cherehani ingeshindikana...khaaa!

Ungemnunulia ready made ee!! Auze fasta awahishe mzigo home.. Haha hahaaaaa!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kama ulikuwepo mpenzi...hakuna hii mambo ya kushona sijui cherehani, kwanza inamtoa vimbwisi...halafu mikono inakuwa imelegea kwa kutwa nzima kushikilia nguo wakati wa kushona

Ungemnunulia ready made ee!! Auze fasta awahishe mzigo home.. Haha hahaaaaa!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Baada ya kutafakari saana nimepata jibu, mnunulie charahani ya umeme tatizo litakwisha. si unajua ile charahani ya kawaida miguu inakua inacheza speed muda wote hapo inatengeneza friction kwenye papuchi basi kutwa nzima anapiga mabao ile mbaya ndio maana hana hamu kabisa haa haa haaaa.
 
Wanaume tunatofautiana sana!
Mwanamke wa aina gani anifanyie hivyo?
Upole wako ndiyo unakuponza...
 
Baada ya kutafakari saana nimepata jibu, mnunulie charahani ya umeme tatizo litakwisha. si unajua ile charahani ya kawaida miguu inakua inacheza speed muda wote hapo inatengeneza friction kwenye papuchi basi kutwa nzima anapiga mabao ile mbaya ndio maana hana hamu kabisa haa haa haaaa.

haaa haaa haaaa, laana hio baba!!
 
Mbona simple tu mkuu wangu! Fanya hivi, anza kumtegea yeye awe anarudi kabla yako. Ukishahisi kwamba amesharudi home tu, na wewe sasa ndo unarudi....i hope itakuwa ucku kidogo! Ukifika tu, msalimie haraka haraka halafu jifanye kama hutaki kuwa nae karibu kisha kimbilia bafuni kuoga!

Ukishamaliza kuoga tu, kajibwage kitandani na u-force usingizi!

Fanya hivyo kama mara tano hivi mfululizo; am telling you, kuchoka kwake kote kutamwondoka huyo!!! Atakachojiuliza ni kwamba mbona unaporudi tu unakimbilia kuoga!! Miwivu hapo hapo itamuanza na ili a-prove itabidi awe anakupa majambo ili aone utaweza kupiga mzigo au vipi!

Akikupa mambo unatakiwa kufanya nini? Siku ya kwanza zuga, jifanye hujisikii kabisa....mwambie umechoka! cku ya pili baada ya kuwa jana yake amekutegeshea mambo, rudi mapema! Obvious, atakutegeshea tena mambo! Piga mashine kwa raha zako!! Hapo ataona, ahg, kumbe ulikuwa wasi wasi wake tu....huna mtu nje wala nini!! Hapo ataanza tena ile tabia yake ya kuchoka! Akijichokesha cku mbili mfululizo, anza tena kuchelewa na ukifka home unakimbilia bafuni! Atakutegeshea tena mambo, mwambie umechoka! cku ya pili yake tena, rudi mapema! Akikupa vitu; kula kwa raha zako kwa spid zote!

Unajua atakuwa amepata picha gani hapo? Atagundua cku anapochoka choka na wewe unachelewa kurudi! cku hiyo akikupa, unashindwa kula(atahisi unakuwa ushabenjua mahala ingawaje hana ushahidi). Lakini ukipumzika cku moja tu, unakua na full miguvu kama simba! Hapo atahitimisha kwamba kumbe anapochoka choka tu; wewe unaamua kujipumzisha mahala lakini akiacha kuchoka choka, unakuwa mume mwema unayerudi home mapema na ukipewa mzigo unaula kisawasawa! Finally, ataipunguza hiyo rate ya kuchoka choka ili kwa kile atakachohisi kwamba ili akudhibiti usiwe unatoka nje!

It's just psychological attack!
 
Kama ulikuwepo mpenzi...hakuna hii mambo ya kushona sijui cherehani, kwanza inamtoa vimbwisi...halafu mikono inakuwa imelegea kwa kutwa nzima kushikilia nguo wakati wa kushona
In contrast, kama cherehani yenyewe ni manual, basi itakuwa inasaidia sana kuimarisha misuli ya ile makitu thus making it less elastic!
 
Unajua hamu inaisha kwa nini?

Mwenzako anawapima viuno wanaume anawakumbatia kila siku na kuwapima urefu wa zipu LOL
Mkuu Maundumula,
Utamfanya mwana hapa awe anaenda kuvizia kijiwe cha wife ili akathibitishe kwa kula deo!
 
Last edited by a moderator:
kweli ni maumivu kwa upande wako lakini angalau unajua ni nini kinasababisha mkeo kuwa hivyo,suluhisho pekee ni mazungungumuzo kila mmoja wenu afunguke naamini mtapata suruhisho.
 
kaa chini na mkeo mzungumze!!!mwambie kama hatabadilika katika jukumu la kindoa utatafuta msaidizi!!atastuka!!ila jamani kazi hiyo ni ngumu wacheni tu nendeni tu taratibu kwakuvumiliana na upendo

...kazi ipi ni ngumu sasa ----cherehani au sex na mmeo?
 
Hebu fanya uchunguzi kidogo....yani huo ufundi tu ndio hamu imuishie kiasi hicho.....! kama ni kweli komaa utafute hela ya papuchi bana...
 
Back
Top Bottom