nipepo kaniingia au nn?

nipepo kaniingia au nn?

maimatha

Senior Member
Joined
Mar 2, 2013
Posts
129
Reaction score
162
hata kama ni kupenda mwenzenu nimepitiliza, nampenda hajal hisia zangu nampigia cm hapokei wakat mwingine anajib im tired nataka kulala, nimeamua kukaa kimya labda atanitafuta kimya wiki sasa hajanitafuta zaidi ya leo kanisms hi! nifanyeje nimejarbu kujizuia nahisi nateseka sana juu yake nampenda haijalish hata tuwe folen kama NMB, nitavumilia sababu nampenda sana. ushaul jmn
 
Mapenzi "yamekuchanginyi"pole sana,ila kwa vile umeishayavulia nguo yaoge.
 
Unaomba ushauri wa nini tena wakati umesema "haijalish hata tuwe folen kama NMB, nitavumilia sababu nampenda sana".

kishajishauri huyo.....mwache aendelee na foleni kama ya NMB mwisho wake atauona
 
Hongera kwa kupenda shosti. Huo ni uamuzi wa busara . Komaa na foleni mwaya, ndo daslamu yetu hiyo.
 
Mbona unajitafutia matatizo hivo?..au ndio wa kwanza kukugegeda ukajua huyo ndio mwisho wa lami, toka ndani ya box!..huyo tayari hakufai,utajisababishia presha bure...au ulimpata kwa tabu?...TUNZA UTU WAKO,kama unaitamani hiyo foleni nenda na usirudi kutulilia hapa kwa matatizo yatakayosababishwa na hili....dont be cheap in that way...
 
Just keep on waiting.,foleni ina watu wachache kama 50 hivi na anahudumiwa wa kwanza!
 
Unaomba ushauri wa nini tena wakati umesema "haijalish hata tuwe folen kama NMB, nitavumilia sababu nampenda sana".

aisee! Yan anataka kujipeleka mwenyewe kwa mdomo wa mamba!? Mh! Kweli kpendacho roho! Loh!
 
mh... kwani ndio huyo? wengine wapo....
 
Mbona unajitafutia matatizo hivo?..au ndio wa kwanza kukugegeda ukajua huyo ndio mwisho wa lami, toka ndani ya box!..huyo tayari hakufai,utajisababishia presha bure...au ulimpata kwa tabu?...TUNZA UTU WAKO,kama unaitamani hiyo foleni nenda na usirudi kutulilia hapa kwa matatizo yatakayosababishwa na hili....dont be cheap in that way...

umenena sawa mkuu...ila sikio la kufa halisikii dawa
 
aisee! Yan anataka kujipeleka mwenyewe kwa mdomo wa mamba!? Mh! Kweli kpendacho roho! Loh!

Kupenda kubaya wewe!!!!!
Hasa upende usipopendwa, utajuta kumfahamu huyo uliyemlove.
 
nahisi nimerogwa kuna wakati nafuta namba yake lakin naitafuta tena mimi mwenyewe daaah!!!!
 
Back
Top Bottom