nipepo kaniingia au nn?

nipepo kaniingia au nn?

Wanawake wapo wengi, acha Uboya. Si kwamba hakuna maisha bila yeye bali hakuna Maisha bila Pumzi.

Piga chini chagua mwingine.
 
Bora wewe umekuwa muwaz nakuelezea hisia zako, wengi hujifanya wasiri then wanaumbuliwa na umauti
 
ujalogwa fanya issue nyingine mpotezee, atakusumbua huyo wewe
 
Komaa hivyo hivyo na Mungu atasikia ombi na nia yako juu ya umpendaye
 
hata kama ni kupenda mwenzenu nimepitiliza, nampenda hajal hisia zangu nampigia cm hapokei wakat mwingine anajib im tired nataka kulala, nimeamua kukaa kimya labda atanitafuta kimya wiki sasa hajanitafuta zaidi ya leo kanisms hi! nifanyeje nimejarbu kujizuia nahisi nateseka sana juu yake nampenda haijalish hata tuwe folen kama NMB, nitavumilia sababu nampenda sana. ushaul jmn
Hapo nilipoweka rangi nyekundu ndio jibu la tatizo lako. Vile uko tayari kuvumilia wewe vumilia tu hadi utakapochoka.
 
Hivi foleni yenu mpo wa ngapi? Nataka tenda ya kusambaza zile dawa mkisha ukwaa.!
 
Wenzako hupendwa tu pale wanapopendwa, vinginevyo uwe tayari kuwa spare tyre!
 
ehehehehh hujawahi kuipata foleni ya mbezi temboni mida ya asubuhi wewe!
 
hata kama ni kupenda mwenzenu nimepitiliza, nampenda hajal hisia zangu nampigia cm hapokei wakat mwingine anajib im tired nataka kulala, nimeamua kukaa kimya labda atanitafuta kimya wiki sasa hajanitafuta zaidi ya leo kanisms hi! nifanyeje nimejarbu kujizuia nahisi nateseka sana juu yake nampenda haijalish hata tuwe folen kama NMB, nitavumilia sababu nampenda sana. ushaul jmn

happiness lies in ones hands. Ts u who can choose pain o happines by makng right decsions. Gud luck
 
Acha kupenda kwa kizamani wewe! Ya nini kujitia dhiki ya roho na kujikosesha raha ya dunia ambae hata baada ya kuwa kimya for a week, alichoweza ku-text kwako is just "hi!" Ngoja nikuulize; huyo mtu ulizaliwa nae pamoja au mlikutana tu ukubwani?
 
aaa mamimatha, enzi za foleni za NMB zilikuwa zamani sasa hivi kwa nini upate shida wakati ATM zipo (TUPO) nyingi...wewe endelea kufanya banking yako na NMB ila withdrawals uwapo na haja waweza zifanyia katika ATM yoyote iliyopo karibu nawe!!!
 
Last edited by a moderator:
Umejiroga mwenyewe mamaa na kamwe huta banduka hapo mpk kifo kitakapo kutenganisha na foleni ya NMB....
Jitambue..
 
Haya ndio matatizo ya kupenda pale usipopendwa inakuwa karaha na majuto tele kila siku iendayo kwa Mungu. Mie kwa maoni yangu tafakari kwa kina haya mateso utayavumilia mpaka lini!? Ni vizuri ukajibu maswali haya na kasha kuchukua maamuzi muafaka. Je, yanaweza kukusababishia matatizo ya kiafya? Je, huwezi kumpata mwingine atayakupenda na kukuthamini kuliko huyu anayekupa mateso ya moyo!? Kila la heri.
CC: @FP, snowhite, Arushaone, sakapal

hata kama ni kupenda mwenzenu nimepitiliza, nampenda hajal hisia zangu nampigia cm hapokei wakat mwingine anajib im tired nataka kulala, nimeamua kukaa kimya labda atanitafuta kimya wiki sasa hajanitafuta zaidi ya leo kanisms hi! nifanyeje nimejarbu kujizuia nahisi nateseka sana juu yake nampenda haijalish hata tuwe folen kama NMB, nitavumilia sababu nampenda sana. ushaul jmn
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom