nipepo kaniingia au nn?

nipepo kaniingia au nn?

hata kama ni kupenda mwenzenu nimepitiliza, nampenda hajal hisia zangu nampigia cm hapokei wakat mwingine anajib im tired nataka kulala, nimeamua kukaa kimya labda atanitafuta kimya wiki sasa hajanitafuta zaidi ya leo kanisms hi! nifanyeje nimejarbu kujizuia nahisi nateseka sana juu yake nampenda haijalish hata tuwe folen kama NMB, nitavumilia sababu nampenda sana. ushaul jmn

kuwa mvumilvu kjana.
 
Haya ndio matatizo ya kupenda pale usipopendwa inakuwa karaha na majuto tele kila siku iendayo kwa Mungu. Mie kwa maoni yangu tafakari kwa kina haya mateso utayavumilia mpaka lini!? Ni vizuri ukajibu maswali haya na kasha kuchukua maamuzi muafaka. Je, yanaweza kukusababishia matatizo ya kiafya? Je, huwezi kumpata mwingine atayakupenda na kukuthamini kuliko huyu anayekupa mateso ya moyo!? Kila la heri.
CC: FP, snowhite, Arushaone, sakapal



heee jamani BAK WHAAAAAAAAAAAAAAAAAOOOOOOOOOOOOOOOOOO!
upo?
mbn umepotea hiv rafiki?
mimi nimekumithi mpk macho yanawasha kha!
bora umekuja nikushtakie! FP kanihujumu kwa Kaizer jus for chupa mbili za dompo imagine!
waliyonitendea wakati haupo sina hamu!
yani huwezi amini!:shock:
 
Last edited by a moderator:
hata kama ni kupenda mwenzenu nimepitiliza, nampenda hajal hisia zangu nampigia cm hapokei wakat mwingine anajib im tired nataka kulala, nimeamua kukaa kimya labda atanitafuta kimya wiki sasa hajanitafuta zaidi ya leo kanisms hi! nifanyeje nimejarbu kujizuia nahisi nateseka sana juu yake nampenda haijalish hata tuwe folen kama NMB, nitavumilia sababu nampenda sana. ushaul jmn

endelea kumpenda na hakikisha unampa vyote.............
 
Nona Umeamua Kujitoa muhanga kama Mtaliban vile for the name of love.
 
Haya ndio matatizo ya kupenda pale usipopendwa inakuwa karaha na majuto tele kila siku iendayo kwa Mungu. Mie kwa maoni yangu tafakari kwa kina haya mateso utayavumilia mpaka lini!? Ni vizuri ukajibu maswali haya na kasha kuchukua maamuzi muafaka. Je, yanaweza kukusababishia matatizo ya kiafya? Je, huwezi kumpata mwingine atayakupenda na kukuthamini kuliko huyu anayekupa mateso ya moyo!? Kila la heri.
CC: @FP, snowhite, Arushaone, sakapal
ha haaa, penda upendwapo siyo?
got you!
 
Kweli itakua ni pepo maana foleni ya NMB kona kama mlima kitonga.
 
Back
Top Bottom