Nipeni ushauri, anamuimba Manzi yangu

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
9,761
Reaction score
15,578
Iko hivi, nina Manzi yupo grocery, anauza vinywaji.. sasa huyu Manzi mimi kanitunuka fresh fresh, na najua manzi ananielewa sana

Sasa ninefika location hapa nakutana na mwamba tumejuana juzi juzi tu, kaniona tu Nimepigwa ofa za bia.. huyu jamaa anafanya kazi na bro angu.

Sasa anamuimba Manzi yangu, sasa hapa nipo tu nacheki picha linaendaje πŸ˜‚πŸ˜‚β˜ΉοΈ

Sina stress hata Manzi akibebwa tu, nipate gia ya kuachana nae.
Ila picha lilivyo hadi sasa ni kwamba nimeambiwa leo kutakua na Kandanda Manzi anaupiru kasema leo mikazo muhimu.

Sasa kinachonipa maswali ni kwamba jamaa akijua siku mimi nilikua namchora na nakula huyo manzi, nitaonekana msera mavi.
sijui nimwambie tu mapema kuwa muuza bia ni Manzi yangu au nikaushe.
 
Hata ulichoandika hakieleweki
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…