nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 997
- 828
Siku za hivi karibuni zimeibuka kauli tofauti tofauti na kila moja zinajinasibu kwa upande wake, wapo wanaosema siwezi kuichafua Nchi yangu, na wengine wanaosema hakuna Serikali isiyokuwa na Nchi, na wengine wanasema tuoneshe Bendera ya Nchi ilivyo na Bendera ya Serikali?