Wapendwa wana Jf,
Naombeni mpie tafu. Tumekuwa na advisers waituadvise kwenye projct yetu moja, sasa tumfikia mwisho wa project. Tunafikiria kuwapa zawadi hawa advisers. Kwa ushuri wenu mnaona tuwape nini? Level yao ya education ni PhD namostly ni watanzania. Pls naomba mawazo ni nini kinafaa kuwa zawadi.
Naombeni mpie tafu. Tumekuwa na advisers waituadvise kwenye projct yetu moja, sasa tumfikia mwisho wa project. Tunafikiria kuwapa zawadi hawa advisers. Kwa ushuri wenu mnaona tuwape nini? Level yao ya education ni PhD namostly ni watanzania. Pls naomba mawazo ni nini kinafaa kuwa zawadi.