Alphaking2023
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 2,093
- 2,121
Nisiongee sana maana Nina hasira na soda yangu niliiweka nikirudi toka mazoezi nije kunywa ila nimekuta imepasuka ndani ya friji tatizo nini,
Nipeni sababu za kisayansi na mniambie siku nyingne nifanye nini ili isipasuke kama Leo
Nipeni sababu za kisayansi na mniambie siku nyingne nifanye nini ili isipasuke kama Leo