yangoma Member Joined Sep 1, 2011 Posts 72 Reaction score 2 Sep 2, 2011 #1 Wan JF kwema haya hawa jamaa wameleta vibweka gani huko mtaani maana wanaongeza kasi ya umaarufu kwenye magazeti kwa vituko vyao nawasilisha
Wan JF kwema haya hawa jamaa wameleta vibweka gani huko mtaani maana wanaongeza kasi ya umaarufu kwenye magazeti kwa vituko vyao nawasilisha
mikatabafeki JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 12,771 Reaction score 4,656 Sep 2, 2011 #2 hbu nenda globalpublishers.com...................kachukue umbea huko,kwanza bongo hakuna mastaa
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,811 Reaction score 13,767 Sep 2, 2011 #3 Aaah wapi,hawa wauza sura wa mjini?
NYENJENKURU JF-Expert Member Joined Feb 11, 2011 Posts 1,067 Reaction score 299 Sep 2, 2011 #4 Star bongo au vilaza ktk usanii hawana lolote hao ni wauza sura tu na kutafuta umaarufu wa kuwa na vibaloon na viGX 100 BASI WANAJIONA MASTAR
Star bongo au vilaza ktk usanii hawana lolote hao ni wauza sura tu na kutafuta umaarufu wa kuwa na vibaloon na viGX 100 BASI WANAJIONA MASTAR
kichomiz JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 20,299 Reaction score 13,338 Sep 2, 2011 #5 yangoma said: Wan JF kwema haya hawa jamaa wameleta vibweka gani huko mtaani maana wanaongeza kasi ya umaarufu kwenye magazeti kwa vituko vyao <br /> nawasilisha Click to expand... <br /> <br /> Ma star wapi mkuu?Bongo hakuna mastaa kuna wauza sura na wapenda sifa tu,hawana lolote shida tu.
yangoma said: Wan JF kwema haya hawa jamaa wameleta vibweka gani huko mtaani maana wanaongeza kasi ya umaarufu kwenye magazeti kwa vituko vyao <br /> nawasilisha Click to expand... <br /> <br /> Ma star wapi mkuu?Bongo hakuna mastaa kuna wauza sura na wapenda sifa tu,hawana lolote shida tu.
AshaDii Platinum Member Joined Apr 16, 2011 Posts 16,189 Reaction score 18,117 Sep 2, 2011 #6 Yangoma ilitakiwa uwasilishe tukio moja then na sie tuendeleze....