Nipeni ripoti za mastaa wetu idd hii

yangoma

Member
Sep 1, 2011
72
2
Wan JF kwema haya hawa jamaa wameleta vibweka gani huko mtaani maana wanaongeza kasi ya umaarufu kwenye magazeti kwa vituko vyao
nawasilisha
 
hbu nenda globalpublishers.com...................kachukue umbea huko,kwanza bongo hakuna mastaa
 
Star bongo au vilaza ktk usanii hawana lolote hao ni wauza sura tu na kutafuta umaarufu wa kuwa na vibaloon na viGX 100 BASI WANAJIONA MASTAR
 
Wan JF kwema haya hawa jamaa wameleta vibweka gani huko mtaani maana wanaongeza kasi ya umaarufu kwenye magazeti kwa vituko vyao <br />
nawasilisha
<br />
<br />
Ma star wapi mkuu?Bongo hakuna mastaa kuna wauza sura na wapenda sifa tu,hawana lolote shida tu.
 
Yangoma ilitakiwa uwasilishe tukio moja then na sie tuendeleze....
 
Back
Top Bottom