Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Asante...
Hatutakuja kupata kiongozi Mungu.
Ila wapinzani waache wapnge maana kupinga ndiyo uhai wao. Waendelee tu.
Kipindi cha Mkapa walilalamika Rais dikteta hafai kututawala.
Akaja JK tukamsema huyu kageuza nchu shamba la bibi. Tu/wakatamani kiongozi mwenye mamlaka. Anayeweza kunguruma kidogo.
Akaja JPM...malalamiko hayajaisha. Rais ni mtu sio Mungu. Lazima wawepo wa kuumizwa na wa kufurahishwa na maamuzi anayotoa.



Mimi bado sijaona mbadala wa JPM.
Wiki iliyopita jmosi nilikuwepo pale jamhuri Dodoma kumsikiliza JPM,
Leo nimeenda viwanja vya CCM Mbeya kumsikiliza Lisu.
Naona Lisu bado Sana