Naomba Mbinu za kumuita mwanamke 'sogea tuishi'

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
Habari zenu Wakuu,

Naomba mnisaidie jinsi ya kumshawishi Mwanamke aje ghetto tuanze kuishi pamoja bila ya Ndoa.

Kuna Mrembo ana Dini na amenielewa vibaya sana (ananipenda), ila hataki tuishi pamoja mpaka tufunge Ndoa.

Wakuu mimi ni Kataa Ndoa ila nahitaji mema ya Ndoa.

WAKUU NIPENI MBINU ZA KUJITWALIA HIKI KIUMBE CHENYE KILA AINA YA UZURI.

Uzi Tayari.

Moderators naomba tuheshimiane.
 
Mimba ndiyo mkombozi!!
Habari zenu Wakuu,

Naomba mnisaidie jinsi ya kumshawishi Mwanamke aje ghetto tuanze kuishi pamoja bila ya Ndoa.

Kuna Mrembo ana Dini na amenielewa vibaya sana (ananipenda), ila hataki tuishi pamoja mpaka tufunge Ndoa.

Wakuu mimi ni Kataa Ndoa ila nahitaji mema ya Ndoa.

WAKUU NIPENI MBINU ZA KUJITWALIA HIKI KIUMBE CHENYE KILA AINA YA UZURI.

Uzi Tayari.



Moderators naomba tuheshimiane.
O
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom