Nipeni mbinu za kumpata huyu mwanamke

Nipeni mbinu za kumpata huyu mwanamke

Tujikute tu kishanichinja, naona manyoya yaleeee....sio ooh sasa nakupenda vikaenda vikarudi sasa naomba jibu yani hadi nyg huwa zinayeyuka nikiambiwa hivo
Yes,this was my Plan A and It failed.
Sasa nipe mbinu mbadala ili nichinje kiulaini aishie kuona manyoya yaleeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haraka haraka haina baraka...

Ngoja ngoja yaumiza matumbo...

Za kuambiwa changanya na zakwako...

Mkono mtupu haulambwi...


Cc: mahondaw
 
Wakuu,

Mimi nimepanga hapa Dar. Kuna mwanamke naye anakaa Nyumba hii hii niliyopanga (anakaa na ndugu zake)

Huwa tunawasiliana almost kila siku kwa simu, na juzi kati nilimnunulia vizawadi toka supermarket(ili kuzidi kuweka ukaribu) na alipokea vizuri kabisa.

Jana nilimtoa out for Dinner na katika mazungumzo nikachomekea mtongozo.
Hakuonyesha ushirikiano sana, na akasema hawezi kunipa jibu kwa wakati huo. Jibu lake hilo liliniweka out of mood kichizi.

So naona kama mbinu niliyotumia (Plan A) haijazaa matunda niliyotegemea Coz nahitaji kumla huyu mtoto fasta.

Kwa hiyo wakuu, hebu Nipeni Technics na maujuzi nimn'goe huyu mtoto mzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi ushafanya muamala au unajifariji ana icecrem tuu
 
Hivi bado mnatongoza siku hizi?
Out mara moja tu na mtongozo juu!!
Aafu unakata tamaa!!
Khaa.!
Ilitakiwa uendelee kumpa zawadi na out zaidi Kuna siku angekuambia mkakae sehemu tulivu muongee vizuri.
Unachukua zako chumba hotelini na kumalizana naye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes,this was my Plan A and It failed.
Sasa nipe mbinu mbadala ili nichinje kiulaini aishie kuona manyoya yaleeee

Sent using Jamii Forums mobile app
We mwambie sorry kama ulimkwaza kwa yale maongezi, then endeleza ukaribu wa kirafiki, peleka vi zawadi mtoe toe mida ya night mpeleke maeneo yanaoyamsha hisia sio bar kwenye mikelele, muage kwa kabusu afu muache, siku nyingine mwambie aje akutembelee usimuombe mzigo jifanye huna habari kumbe una nyg za kufa mtu, hadi hapo umepata uelekeo au bado?
 
Kama kapokea zawadi. Kakubali date....usitake jibu la papo kwa papo. Huyo ushakula. Tulia tu. Si kasema hawezi kukupa jibu papo kwa papo....hizo ni formalities tu ila tangu anapokea vizawadi ashaelewa somo huyo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Jamaa mzembe wa kuelewa hizi mambo anataka apewe majibu directly kama anatongoza malaya vile!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
We mwambie sorry kama ulimkwaza kwa yale maongezi, then endeleza ukaribu wa kirafiki, peleka vi zawadi mtoe toe mida ya night mpeleke maeneo yanaoyamsha hisia sio bar kwenye mikelele, muage kwa kabusu afu muache, siku nyingine mwambie aje akutembelee usimuombe mzigo jifanye huna habari kumbe una nyg za kufa mtu, hadi hapo umepata uelekeo au bado?
Kumbe tunapokua tunafanya haya yote hua mnajua shida yetu ni nini? Mimi nilizani hua hamjui ila mnakujashituka baada ya kuona manyoya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.Mpe Hela
2.Mpe Fedha
3.Mpe Pesa

Kwa Hizo Mbinu tatu usipompata, Achana Nae!
 
Mpe kipindi cha mpito, bado ni mapema sana huwezi kujua keshadanganywa au kuumizwa na wangapi, mpe muda

Sent from my iPhone 6s using Tapatalk
 
Tujikute tu kishanichinja, naona manyoya yaleeee....sio ooh sasa nakupenda vikaenda vikarudi sasa naomba jibu yani hadi nyg huwa zinayeyuka nikiambiwa hivo
umenifurahisha sanaa, hyo tunaiita TAKE ONE ACTION

KAABAD THE GREATEST
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom