Magnificient
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 1,177
- 733
Kwan wewe huna kimada wa kukuliwaza maumivu anayokupa huyo? Hakuna mwanamke mwenye kila sifa njema, cha msingi ni kuchanganya wawili watatu ili ulilokosa huku ukalipate kule. Shukuru mungu umetoa bikra best, angekuwa mtumba si ndo ungelia kabisa?