Nipeleke Nipelekee...

Nipeleke Nipelekee...

kila nikiona avatar (kofia kama mama rwakatare) nakumbuka ile thread yako

Hahahahahahaa weeweeee. ......
Acha ukorofi hehehehehee eti mama Rwakatare hahahahahahahahaaaaaaaaa ....... na kuisikia sauti inayokwaruza iko sema ....mbayaaaa .... hehehehe
 
Huku jf sidhani kama ni rahisi kupata wife material. Sometimes I do worry about this ladies, mtu akawii kuanika mambo ya chumbani live humu, na nina hakika uwa haishii humu anaenda hadi kwa marafiki zake wa mtaani, sasa kidume unapita na tai mbele mbele kumbe majirani wanajua hadi toyo uliyovaa leo. Sorry I mean boxer
 
Acha kunibania Nataka MTU mzima waschana wananisumbua tuu MTU mzima *Dawa*

Wakubwa zako washakuwahi. ... kama utaweza kupandishiana misuli na mkubwa wako hayaa hehehehehee mi simooo
 
Wakubwa zako washakuwahi. ... kama utaweza kupandishiana misuli na mkubwa wako hayaa hehehehehee mi simooo
Kwani wakubwa wakiwahi wanaondoka nayo? Acha ujinga mpe mwenzio alaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom